Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Habari;
Katika mambo ambayo mwanadamu yeyote haweza kupinga ni ukweli kwamba duniani inabadilika.Ni ukweli usiopingika kwamba kasi ya mabadiliko iliyopo ni muhimu sana tukajiandaa kuwa wafanyakazi tofauti sana,wajasiriamali tofauti na wafanya biashara tofauti.
Leo nataka tujadili kuhusu namna fani mbalimbali zitakavyoathiriwa na mabadiliko ya kiteknolojia.Baadhi ya fani tayari zimeshaathiriwa na kuna kazi ambazo miaka 10 iliyopita zilikuwa ni za kawaida ila kwa sasa sio za kawaida.Baadhi ya kazi hizo ni pamoja na za Upiga Chapa(Hii imebadilika kwa kiwango kikubwa),Utarishi(Mesenger) n.k.Kadiri miaka inavyoenda kazi nyingine zinaathiriwa na teknolojia kama vile kazi za ualimu,udaktari,uhasibu,uongozi,ualishaji viwandani,Siasa,n.k.
Mabadiliko ya kiteknolojia yamefanya kazi hizi ama kuwa rahisi sana kiasi kwamba kazi iliyokuwa inafanya na watu 5 sasa inafanywa na mtu mmoja au inafanywa na mashine kabisa.Ukienda katika usafiri wa Anga utaona kwamba sasa mteja anaweza kununua tiketi na kucheck in online na kufika airport na kupanda ndege bila kushughulika na mtu yeyote(Human Contact).Kwa sababu hii basi ni vyema tukajadiliana kama taifa ila tufahamu ni wapi tulipo na wapi tuendako katika misngi ya mabadiliko ya mazingira ya kazi na ajira.
Natuamani mjadal huu utachokoza mjadala mpana wa maeneo yanayohitaji maboresho ili kufanya maisha ya watu kuwa bora zaidi.
Nawatakia Mjadala mwema
Katika mambo ambayo mwanadamu yeyote haweza kupinga ni ukweli kwamba duniani inabadilika.Ni ukweli usiopingika kwamba kasi ya mabadiliko iliyopo ni muhimu sana tukajiandaa kuwa wafanyakazi tofauti sana,wajasiriamali tofauti na wafanya biashara tofauti.
Leo nataka tujadili kuhusu namna fani mbalimbali zitakavyoathiriwa na mabadiliko ya kiteknolojia.Baadhi ya fani tayari zimeshaathiriwa na kuna kazi ambazo miaka 10 iliyopita zilikuwa ni za kawaida ila kwa sasa sio za kawaida.Baadhi ya kazi hizo ni pamoja na za Upiga Chapa(Hii imebadilika kwa kiwango kikubwa),Utarishi(Mesenger) n.k.Kadiri miaka inavyoenda kazi nyingine zinaathiriwa na teknolojia kama vile kazi za ualimu,udaktari,uhasibu,uongozi,ualishaji viwandani,Siasa,n.k.
Mabadiliko ya kiteknolojia yamefanya kazi hizi ama kuwa rahisi sana kiasi kwamba kazi iliyokuwa inafanya na watu 5 sasa inafanywa na mtu mmoja au inafanywa na mashine kabisa.Ukienda katika usafiri wa Anga utaona kwamba sasa mteja anaweza kununua tiketi na kucheck in online na kufika airport na kupanda ndege bila kushughulika na mtu yeyote(Human Contact).Kwa sababu hii basi ni vyema tukajadiliana kama taifa ila tufahamu ni wapi tulipo na wapi tuendako katika misngi ya mabadiliko ya mazingira ya kazi na ajira.
Natuamani mjadal huu utachokoza mjadala mpana wa maeneo yanayohitaji maboresho ili kufanya maisha ya watu kuwa bora zaidi.
Nawatakia Mjadala mwema