Huenda Vice President Dkt. Phillip Mpango alikuwa kwenye shambulizi la hatari, akafichwa mahali. Hii ndio maana ya "Alikuwa kwenye kazi maalumu"

Mkuu una maanisha could alikuwa under detention au house arrest, baada ya kuona kelele inaanza kuongezeka wakaona itakuwa kesi, wakamtoa kwa masharti na maelekezo maalam????

But Why under detention/arrest????
We don't know exactly what kind of bondage was he in...

However, vyovyote mtu anavyoweza kufikiri na kusema yaweza kuwa sahihi...

Si kwa makusudi kabisa wameamua kutudanganya wenyewe huku wakitambua kuwa wanatunganya?

Mambo hayako sawa huko serikalini. Kuna watu pengine wanatakiwa watoweshwe kwa njia ileile aliyotoweshwa jiwe...
 
🙏🆒
 
KUNA KITU INAITWA, "30 DAYS UNSTABED LEAVES "
Hii ni likizo ambayo mwombaji huomba kukaa mbali na uhusiano wowote wa shughuli azifanyazo!, stupid ppls hawafahamu hii kitu.
 
Mkuu kwa mtazamo wangu naona mheshimiwa makamo wa Rais alikuwa kwenye lockdown! Nasema hivyo kwa sababu sasa hivi kuna upepo fulani hivi wa kuumwa, tukienda hospitali hukutwi na chochote isipokuwa maleria au UTI! Ila muziki wa ungonjwa huo hauna tofauti na Korona. Na upepo huu umepita na wengi!

Tunafahamu Mheshimiwa makamo wa Rais aliwahi kuugua Korona akaponea chupuchupu, wenzie kwenye ule msululu walitangulia!

Mkuu kwa umri na udhaifu wa afya ya makamo wa Rais inaonekana aliikwaa Korona tena! Viongozi wenzie wakaogopa kuambukizana, ikalazimika awekwe lockdown! Ndio kupotea namna ile!

Mkuu kimbembe kikawa kutangazia umma kuwa anaumwa Korona! Serikali ikaona kwa vyovyote vile ingezua taharuki na hofu kubwa mno kwenye jamii! Ndio maana Waziri mkuu Majaliwa akajitokeza kutuliza upepo kwa kusema yupo nje kwenye kazi maalum! Ilhali taarifa kuhusu nchi na kazi hazitajwi maana hakwenda kokote.

Anayejua kutazama anaelewa kuwa mheshimiwa makamo wa Rais hayuko sawa sawa kiafya ila alijitokeza kama ilivyo kuwa mwanzo kutuliza tetesi na taharuki iliyoanza kujitokeza.

Mkuu kwa sasa yupo chini ya uangalizi maalum wa kiafya! Nawasilisha!
 
Wee! MAKAMU WA RAIS HANA PRIVACY, Ila Dr Mpango anayo na hatuwezi kuiingilia. Makamu wa Rais ni mtumishi wa umma si mtumishi wa CCM hivyo tunaomuhitaji binafsi kikazi tunataka tujue alipo tunapomkosa ofisini, hakuajiriwa ili awatumikie viongozi wanaomficha, tunayo haki ya kujua alipo anapokosekana ofisini.
 
KUNA KITU INAITWA, "30 DAYS UNSTABED LEAVES "
Hii ni likizo ambayo mwombaji huomba kukaa mbali na uhusiano wowote wa shughuli azifanyazo!, stupid ppls hawafahamu hii kitu.
Tatizo siyo hili tatizo tunatakiwa tujue kuwa yuko UNSTABED LEAVE hivyo tu,hii haiingilii privacy yake, you idiot.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…