Tetesi: Huenda Wakati wowote kuanzia Sasa Boniface Jaco, Yericko Nyerere na Emmanuel Ntobi wakavuliwa uongozi na kufukuzwa Uanachama

Tetesi: Huenda Wakati wowote kuanzia Sasa Boniface Jaco, Yericko Nyerere na Emmanuel Ntobi wakavuliwa uongozi na kufukuzwa Uanachama

Bezecky

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
494
Reaction score
897
Wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CHADEMA wameonesha kukereka sana na baadhi ya mambo yanayoendelea kwenye Mitandao ya Kijamii hasa kwa wale Viongozi wanaojiita ni Wafuasi kindakindaki wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake Bw. Freeman Mbowe,

Wafuasi hawa Freeman Mbowe wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kukitukana chama na kumtukana , Kumdhalilisha, kumsimanga na kumtweza kabisa utu wake Mhe Tundu Lissu ambae ni makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama mapema mwakani.

Tayari Katibu Mkuu John Mnyika ameshatoa maelekezo yasiyo rasmi kwa Kanda ya Kichama ya CHADEMA ya Serengeti kuwa Bw. Emmanuel Ntobi achukuliwe hatua za kinidhamu haraka na chombo hicho kwani ndicho chombo chenye mamlaka ya kikatiba ya kufanya hivyo.

Na Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006 makosa wanayoyafanya akina Boniface Jacob na team yake adhabu yake ni kuvuliwa uongozi au kufutwa Uanachama au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa Yericko Nyerere yeye mamlaka yake ya nidhamu iko chini ya Mwenyekiti wake Boniface Jacob ambae nae pia ni mtuhumiwa na Mamlaka ya nidhamu ya Jacob ni Kamati Kuu hivyo huenda kamati kuu ijayo hoja hii itaibuka na Boniface Jacob atapata anachostahili ili kuilinda CHADEMA na WanaChadema.

Uchaguzi huu huenda ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kama tu Wafuasi na Wanachama hawatakuwa na hekima na busara za kibinadamu na kiuongozi.

Soma pia Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
 
Tusiwe kama CCM sisi tunaami katika Demokrasia na Freedom of Speech maoni ya Wanachama na Wapenda Demokrasia tusiyaone kuwa ni matusi.

Matusi ya nguoni NOMA lakini Spana zipigwe tu.
 
Kiukweli walifanya sio sawa kwa kiongozi wao makamu mwenyekiti wa chama Chao, lugha za kejeli na kutweza wengine sio sawa
 
Yaani akili za huyu jamaa bora Stive Nyerere tu.....huyu ni pro max Chawa
Screenshot_20241220-123812.png
 
Wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CHADEMA wameonesha kukereka sana na baadhi ya mambo yanayoendelea kwenye Mitandao ya Kijamii hasa kwa wale Viongozi wanaojiita ni Wafuasi kindakindaki wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake Bw. Freeman Mbowe,

Wafuasi hawa Freeman Mbowe wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kukitukana chama na kumtukana , Kumdhalilisha, kumsimanga na kumtweza kabisa utu wake Mhe Tundu Lissu ambae ni makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama mapema mwakani.

Tayari Katibu Mkuu John Mnyika ameshatoa maelekezo yasiyo rasmi kwa Kanda ya Kichama ya CHADEMA ya Serengeti kuwa Bw. Emmanuel Ntobi achukuliwe hatua za kinidhamu haraka na chombo hicho kwani ndicho chombo chenye mamlaka ya kikatiba ya kufanya hivyo.

Na Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006 makosa wanayoyafanya akina Boniface Jacob na team yake adhabu yake ni kuvuliwa uongozi au kufutwa Uanachama au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa Yericko Nyerere yeye mamlaka yake ya nidhamu iko chini ya Mwenyekiti wake Boniface Jacob ambae nae pia ni mtuhumiwa na Mamlaka ya nidhamu ya Jacob ni Kamati Kuu hivyo huenda kamati kuu ijayo hoja hii itaibuka na Boniface Jacob atapata anachostahili ili kuilinda CHADEMA na WanaChadema.

Uchaguzi huu huenda ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kama tu Wafuasi na Wanachama hawatakuwa na hekima na busara za kibinadamu na kiuongozi.

Soma pia Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
Wafukuzwe kabisa maana wana upuuzi mwingi na wanasaidia ccm
 
Tusiwe kama CCM sisi tunaami katika Demokrasia na Freedom of Speech maoni ya Wanachama na Wapenda Demokrasia tusiyaone kuwa ni matusi.

Matusi ya nguoni NOMA lakini Spana zipigwe tu.
Ila wale wamezingua sana. Ilikuwa sahihi kwa wao kumuunga mkono wamtakae lakini si kumshambulia na mdharirisha mshindani wa yule wamtakae.
Mbaya zaidi wameenda mbal zaidi kwa kukiondolea Chama uaminifu mbele ya wapiga kura kwa madai kwamba mgombea waliyempeleka kwa wapiga kura hawakuwa na uwezo na wao walijua na kwa kuwa hawakuwa na mpango wa kushinda uchaguzi, ndiyo maana walimteua asiye na uwezo.

Walipoulizwa, itakuwaje iwapo wasiyemtaka akashinda, wakasema itajulikana muda huo ukifika.
Hawa vijana wa Kitnzania wameonyesha dhahiri kuwa kumbe uchawi upo kwnye DNA za vijana wa kitanzania.

Cha kusikitisha zaidi, vijana wa kiume ndiyo wanaoonyesha huo udhaifu.
 
Mbaya zaidi wameenda mbal zaidi kwa kukiondolea Chama uaminifu mbele ya wapiga kura kwa madai kwamba mgombea waliyempeleka kwa wapiga kura hawakuwa na uwezo na wao walijua na kwa kuwa hawakuwa na mpango wa kushinda uchaguzi, ndiyo maana walimteua asiye na uwezo.
Kwahoja hiyo watuombe Radhi sisi Wananchi haraka iwezekanavyo, na sio kumuomba radhi Lissu pekee.

Hebu Imagine tulivyoamka Asubuhi kwenda kumpigia kura Lissu huku tukiogopa "Wasiojulikana" wa Magufuli, Stress na Hofu za kutekwa na kuuwawa.

We demand apology..
 
Wajumbe wengi wa Kamati Kuu ya CHADEMA wameonesha kukereka sana na baadhi ya mambo yanayoendelea kwenye Mitandao ya Kijamii hasa kwa wale Viongozi wanaojiita ni Wafuasi kindakindaki wa Mwenyekiti anayemaliza muda wake Bw. Freeman Mbowe,

Wafuasi hawa Freeman Mbowe wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kukitukana chama na kumtukana , Kumdhalilisha, kumsimanga na kumtweza kabisa utu wake Mhe Tundu Lissu ambae ni makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA na Mtia nia wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Chama mapema mwakani.

Tayari Katibu Mkuu John Mnyika ameshatoa maelekezo yasiyo rasmi kwa Kanda ya Kichama ya CHADEMA ya Serengeti kuwa Bw. Emmanuel Ntobi achukuliwe hatua za kinidhamu haraka na chombo hicho kwani ndicho chombo chenye mamlaka ya kikatiba ya kufanya hivyo.

Na Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA ya mwaka 2006 makosa wanayoyafanya akina Boniface Jacob na team yake adhabu yake ni kuvuliwa uongozi au kufutwa Uanachama au vyote kwa pamoja.

Kwa upande wa Yericko Nyerere yeye mamlaka yake ya nidhamu iko chini ya Mwenyekiti wake Boniface Jacob ambae nae pia ni mtuhumiwa na Mamlaka ya nidhamu ya Jacob ni Kamati Kuu hivyo huenda kamati kuu ijayo hoja hii itaibuka na Boniface Jacob atapata anachostahili ili kuilinda CHADEMA na WanaChadema.

Uchaguzi huu huenda ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Chama hiki kama tu Wafuasi na Wanachama hawatakuwa na hekima na busara za kibinadamu na kiuongozi.

Soma pia Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
Wewe ni mtu wa Mfumo?
 
Back
Top Bottom