Huenda yakawa maneno ya ukweli haya

ndo nazid kuwachukia wanaume aisee.

Uongo na huo mtamu kwenye mapenzi,,,unatia ladha...cheki hii... when you smile the whole world stops and stares for a while..baby you are amazing just the way you are,,kumbe ni kipori wa kutupwa
 
Uongo na huo mtamu kwenye mapenzi,,,unatia ladha...cheki hii... when you smile the whole world stops and stares for a while..baby you are amazing just the way you are,,kumbe ni kipori wa kutupwa

sasa na we unayeambiwa hivyo utakuwa ujijui
 
nataman ningekuwa na moyo kama wako maana nahis kudanganywa laivu bila chenga!

Sasa kama mtu kaanza kukudanganya jambo dogo tu mfano kazi anayofanya, mkiendelea si ndo anaweza kukudanganya zaidi. Ndo hao wanaoficha kuwa hawana watoto, ukija kugundua too late.......tena ndo umeshamuoa au ushaolew. Bora nijisepee mapema!
 
kweli kabisa....

kwa sasa niko Los Angeles Naelekea New York City kwenye kikao cha CEO'S!

qulaleki kumbe uko tandale kwa mtogole unasubiria braza aje akupigie pande la chipsi kavu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…