ha ha h a ha mimi ukinidanganya ndo utajibeba
Nikijua unanidanganya we ni adui yangu, sipendi uongo na sipendi kumuongopea mtu
Sijawahi kudanganya...teh!!
ndo nazid kuwachukia wanaume aisee.
ha ha h a ha mimi ukinidanganya ndo utajibeba
nataman ningekuwa na moyo kama wako maana nahis kudanganywa laivu bila chenga!
We lazima nikudanganye na papuchi utatoa tu
danganya nikudanganye!!
Uongo na huo mtamu kwenye mapenzi,,,unatia ladha...cheki hii... when you smile the whole world stops and stares for a while..baby you are amazing just the way you are,,kumbe ni kipori wa kutupwa
aah wapi najua pakukukamatia
sasa na we unayeambiwa hivyo utakuwa ujijui
ya kweli hayo......?
sema hujakutana na wanaojua kudanganya. Mbona unatoa hata kama ulikuwa hutaki?!
Sasa si nakulainisha unipe papuchi kiulaini..chezea genye wewe
100% kweli best
hivi mwanaume anadanganya ili apewe papuchi tu?
nataman ningekuwa na moyo kama wako maana nahis kudanganywa laivu bila chenga!