Huenda yakawa maneno ya ukweli haya

Wakati huo umeshagegedwa vya kutosha

Naassume nothing happened. Kwanza si nimetoa kopi tu origino nimebaki nayo. Yani mtu mzima nidanganywe halafu nipo tu? me nasepa!
 
Uongo ndo dili ukisema ukweli hamtafika kokote
 
Demu wangu wa kwanza nilimdanganya nimepanga nyumba nzima kumbe niko hom tu kwa wazee. Kuepuka aibu ilibidi mwanaume nifight ndani ya two weeks nikakamilisha kila kitu,,nikamkaribisha hom na uzazi nikala kama kawa. Ningemwambia ukweli kuwa niko hom angenidharau na perhaps tusingedate
 
alafu wasivyo na akili akija gundua nimemdanganya ndo anamaind!!! i always ask afterward kwan usingegundua was there any difference uliyoiona???
 
Haa haa haaaaa.... Hiyo kwangu sio theory tena, bali ni principle. Ukimuongezea na ka uongo kidogo demu anakupa kila kitu. By the way, women lie twice the men do! Alinidanganya ana bikra bado, bichwa langu likawa hilo. Siku ya siku naingiza kwa pozi najua itakwama sehemu nashangaa imepita jumla... bila machozi, jasho wala damu. Tangu hapo sina imani naye tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…