Huenda Yanga SC wenye akili wakawa ni Wawili Watatu tu kwa Kauli hii ya Rais Hersi Said

Huenda Yanga SC wenye akili wakawa ni Wawili Watatu tu kwa Kauli hii ya Rais Hersi Said

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
π—›π—˜π—₯π—¦π—œ π—”π—œπ—žπ—”π—‘π—” π—¬π—”π—‘π—šπ—”​

β€œMimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga, sipati Tsh. 100 Yanga, mimi kwa maana ya Rais wa Klabu sio mfanyakazi wa klabu, wala haajiriwi na klabu, Makamu wa Rais pia, wajumbe wa kamati ya utendaji pia sio wafanyakazi wa Yanga.

β€œWafanyakazi wa Yanga wanaanzia Level ya CEO hao ndio waajiriwa wa Yanga sisi ni viongozi ambao tumechaguliwa na Wanachama wa Yanga kuisimamia Yanga,” Rais wa Yanga Sc, Eng. Hersi Said.

Chanzo: Mitandaoni na Wasafi Media.

Kumbe ndiyo maana hata Jezi zao zinauzwa Tsh 40,000/= na Yanga SC inapata Tsh 1,800/= tu na zilizobaki ni za GSM.
 
Sasa ulitaka walipwe sh ngapi katika mauzo ya kila jezi?
Wanasajili
Wanalipa mishahara na posho za wachezaji
Wanagharamia gharama za malazi na usafiri na mambo mengine ambayo ni mahitaji ya muhimu kwa kila binadamu/Mchezaji
Ishu ya msingi Rais wa timu anakuwaje sio mtumishi wa timu?!
 
Na kabisa unategemea Jibu kutoka kwa huyo Juha kwa hili Swali lako lenye kuhitaji Akili Kubwa kulijibu?
Ulivyo Zuzu na kujitamba eti ni graduate SAUT wakati hiyo degree yako ni cheti tu watu huwa tunaangalia attitude zako, jitahidi kuwa unaleta hoja iliyonyooka sio unaandika ujinga ujinga tu.
 
Ulivyo Zuzu na kujitamba eti ni graduate SAUT wakati hiyo degree yako ni cheti tu watu huwa tunaangalia attitude zako, jitahidi kuwa unaleta hoja iliyonyooka sio unaandika ujinga ujinga tu.
chilonge vipi huyo Juha ( Fool ) uliyemuuliza Swali lenye kuhitaji Akili Kubwa kulijibu / kukujibu ameshakujibu au bado?
 
Tafuta Katiba yao uisome sema huyu mleta hoja nahisi kuna kitu kipo hovyo kichwani, Angehoji kuhusu Rais kutolipwa mshahara sio suala la kulipwa 1,800 kwa kila mauzo ya jezi
chilonge umeshathibitisha sasa 'Debe Tupu' ulilokuwa unahangaika nalo?
 
Tafuta Katiba yao uisome sema huyu mleta hoja nahisi kuna kitu kipo hovyo kichwani, Angehoji kuhusu Rais kutolipwa mshahara sio suala la kulipwa 1,800 kwa kila mauzo ya jezi
Hata kama kaka. Rais ndio mtumishi namba moja wa mahali popote. Inakuwaje Katiba ya Yanga iache 'MWANYA' wa Rais kutokuwa mtumishi?!

Je, Magoma yupo sahihi kwa muktadha huu?!
 
π—›π—˜π—₯π—¦π—œ π—”π—œπ—žπ—”π—‘π—” π—¬π—”π—‘π—šπ—”​

β€œMimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga, sipati Tsh. 100 Yanga, mimi kwa maana ya Rais wa Klabu sio mfanyakazi wa klabu, wala haajiriwi na klabu, Makamu wa Rais pia, wajumbe wa kamati ya utendaji pia sio wafanyakazi wa Yanga.

β€œWafanyakazi wa Yanga wanaanzia Level ya CEO hao ndio waajiriwa wa Yanga sisi ni viongozi ambao tumechaguliwa na Wanachama wa Yanga kuisimamia Yanga,” Rais wa Yanga Sc, Eng. Hersi Said.

Chanzo: Mitandaoni na Wasafi Media.

Kumbe ndiyo maana hata Jezi zao zinauzwa Tsh 40,000/= na Yanga SC inapata Tsh 1,800/= tu na zilizobaki ni za GSM.
Duuuh kaka hebu tupe gharama ya kutengeneza jezi Moja plus kuzisafirisha plus ushuru then tujue GSM anaingiza ngapi tulinganishe na iyo 1,800 anayopata Yanga kwa Kila jezi..Hebu tuanzie hapo tuache siiiiihasa...a
 
Hata kama kaka. Rais ndio mtumishi namba moja wa mahali popote. Inakuwaje Katiba ya Yanga iache 'MWANYA' wa Rais kutokuwa mtumishi?!

Je, Magoma yupo sahihi kwa muktadha huu?!
Tafuta katiba ya Yanga ndio utapata majibu
 
Back
Top Bottom