kila heri mkuu, hebu weka CV yako sawa sawa mbona kama fupi sana?
All the Best Mkuu Ukifanikiwa, niambie na mimi nijaribu....
kila la kheri wa ndima, mwandani mtie ndani,
ziwe kidogo gharama, za pete pia vidani,
pamoja mali kuchuma, ziwafae maishani,
tena muepuke ngoma, wana mpate sheheni
Nashukuru Miss Judith, ushauri tazingatia,
nimuepuke Ibilisi, Ukimwi kutojipatia,
Niwe na bora kizazi, ili nisije kujutia
Nimeona umri waenda, sijapata aletulia,
Binti asiye na inda, penzi bora kunipatia
Na yule aliyenitenda, bahati aje ijutia
Mhhhh! Judy na Wa ndima mkiamua kuwa pamoja na kufunga pingu za maisha nyumbani kwenu mashairi mtindo mmoja kuanzia mnapoamka mpaka mnapopanda kitandani hahahahahahahah. Ikitokea hivyo basi harusi yenu nitaomba Muumba wetu anipe uzima ili niweze kuhudhuria na kuwapigia vigelegele na kuwaimbia wanameremeta wanameremeta.
Mhhhh! Judy na Wa ndima mkiamua kuwa pamoja na kufunga pingu za maisha nyumbani kwenu mashairi mtindo mmoja kuanzia mnapoamka mpaka mnapopanda kitandani hahahahahahahah. Ikitokea hivyo basi harusi yenu nitaomba Muumba wetu anipe uzima ili niweze kuhudhuria na kuwapigia vigelegele na kuwaimbia wanameremeta wanameremeta.