Hugo Lloris ametangaza kustaafu kucheza Soka la Kimataifa

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
1673334160331.png

Official, Golikipa wa Tottenham na Nahodha wa timu ya Taifa ya Ufaransa Hugo Lloris amestaafu kucheza soka la kimataifa.

Hugo ameichezea Ufaransa Michezo 145 akifanikiwa kufika fainali mbili mfululizo za kombe la Dunia na kushinda 1.

Hivyo baada ya kustaafu Kylian Mbappe ndiye atakuwa Nahodha mpya wa timu ya Taifa ya Ufaransa.

#sportsplanetupdates
 
Kombe la dunia kafika final mara 2 kabeba mara 1 kaona aachie wengine
 
Asante Lloris kwa kuwasaidia Argentina kubeba ubingwa, kwani ulishindwa kuzuia penalti hata zile zilizopita karibu yako.
 
Back
Top Bottom