Huhitaji kuandika au kusema ili kudhalilisha hata kusambaza maudhui ya namna hii

Huhitaji kuandika au kusema ili kudhalilisha hata kusambaza maudhui ya namna hii

robbyr

Senior Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
129
Reaction score
221
Huhitaji kuandika au kusema ndio uonekane mnyanyasaji au mdhalilishaji hata kusambaza maudhi ya kibaguzi kama hili.

Huu mfano nimetumia ili kuonyesha kiasi gani tunaangamiza nafsi nyingi bila kujua ni unyanyasaji.

Maudhui ya namna hii yanaumiza wengi kwa nini tusisimamie ukwli tukayapinga pamoja na memezi
 

Attachments

  • bde7eba9630d464c8eb0c0ad0df57cca.mp4
    10.8 MB
Back
Top Bottom