Hujafa hujaumbika

M-bongotz

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
1,736
Reaction score
408
Anaitwa Lakshmi mtoto huyu alizaliwa na miguu minne na mikono zaidi ya miwili iliyokuwa inazidi kuchomoza kila siku.,Lakini Mungu mkubwa alipofikisha miaka miwili akafanyiwa operation ya kumwondoa miguu na mikono ile ya ziada na hatimaye akarudi kuwa kiumbe cha kawaida.
 

Attachments

  • lakshmi 1.jpg
    15 KB · Views: 206
  • lakshmi2.JPG
    15.5 KB · Views: 183
  • lakshmi 3.jpg
    17.2 KB · Views: 170
  • lakshmi 4.jpg
    11.7 KB · Views: 171
  • lakshmi 5.jpg
    30.1 KB · Views: 166
inaaminika mtoto huyu watu walimwabudu kwa imani kuwa matatizo yao yataisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…