LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 519
Unamtambulisha mchumba/mke/mume wako kwa rafiki yako wa jinsia moja na wewe na kubadlilisha mawasiliano na huyo rafiki yako. Mara baada ya muda, rafiki yako anakuwa na mawasiliano mengi kwa mchumba/mke/mume wako kuliko wewe rafiki yake. Mara nyingine anampingia simu huyo mchumba/mke/mume wako ukiwa na naye na anamwambia kwamba hata mwenye yupo hapa. Unaongea na rafiki yako kupitia simu ya mchumba/mke/mume wako.
Huwa munajisikiaje nyie wenye wachumba/wake/waume?
watu wazima hatufanyi hivi nyie watoto hangaikeni nay hayo.
Unamtambulisha mchumba/mke/mume wako kwa rafiki yako wa jinsia moja na wewe na kubadlilisha mawasiliano na huyo rafiki yako. Mara baada ya muda, rafiki yako anakuwa na mawasiliano mengi kwa mchumba/mke/mume wako kuliko wewe rafiki yake. Mara nyingine anampingia simu huyo mchumba/mke/mume wako ukiwa na naye na anamwambia kwamba hata mwenye yupo hapa. Unaongea na rafiki yako kupitia simu ya mchumba/mke/mume wako.
Huwa munajisikiaje nyie wenye wachumba/wake/waume?
hua mnafanyaje manake naona haya hua yanatokea sana kwa watu wazima....!
hii inaitwa SOGEA TUKAE STYLE na mwisho wake wewe mwenye kiti unasukumwa nje na uliemkaribisha anakalia kitiUnamtambulisha mchumba/mke/mume wako kwa rafiki yako wa jinsia moja na wewe na kubadlilisha mawasiliano na huyo rafiki yako. Mara baada ya muda, rafiki yako anakuwa na mawasiliano mengi kwa mchumba/mke/mume wako kuliko wewe rafiki yake. Mara nyingine anampingia simu huyo mchumba/mke/mume wako ukiwa na naye na anamwambia kwamba hata mwenye yupo hapa. Unaongea na rafiki yako kupitia simu ya mchumba/mke/mume wako.
Huwa munajisikiaje nyie wenye wachumba/wake/waume?
Na ukimruhusu akae,hatatoka!hii inaitwa SOGEA TUKAE STYLE na mwisho wake wewe mwenye kiti unasukumwa nje na uliemkaribisha anakalia kiti
sema we unajisikiaje mana imekutokea