Elections 2010 HUJUMA dhidi ya SLAA katika mdahalo wa JK leo

Tulikuambia, mtu mwenyewe kikwete? Si umemwona alivyojilipua?
 
Tulikuambia, mtu mwenyewe kikwete? Si umemwona alivyojilipua?
 
Chadema Changamkeni acheni kulala.Tuwe realistic,tunafaham kuwa CCM imechoka na ujinga wa watanzania ambao ndio wengi ndio mtaji wao.Lakini leo ITV siku nzima imejaa matangazo ya upuuzi wa CCM,sehemu kubwa wakitumia wananchi wenye uwezo finyu wa kufikiria kwenye hizo tv adds zao,hadi unawaonea huruma.
Ishu yangu na CHADEMA ni kuwa they are taking it too easy,these less substance adds are influencing un-educated voters big tym.
CHADEMA wanatakiwa watumie tv,wanunue airtime kufanya killer adds at the dying ours,otherwise we should expect nothing.
These people are using a lot of money in this,CHADEMA can't compete with em FISADIS on that category.
But come on,hata kidogo kidogo basi na ujumbe wa maana.
And what about mdahalo,CHADEMA wameshindwa kurudia ule mdahalo,kama sio ITV kwa nini wasiurudie Tv nyingine,or hatimiliki stuff?.Or tutaendelea kulia na hujuma za CCM? Eti CCM imefanikiwa kuwadhibiti CHADEMA wasiweze kupata air time kabisa ya kurudia huu mdahalo angalau kwa siku moja? Come one we know all of these songs,CCM is evil,everybidy knows that but we gotta be smart.
CHADEMA Act quickly today and tomorrow,get some adds on tv.Use the media,CCM are using them,CHADEMA is chilling.One fact is this,media is winning election!..CCM will win because of this too,that's why they have based much on media ads for these last days,and i can see it working on their favour.If we are blind enough to see this then am out!..Let's keep in mind that over 70% of Tanzanians wanafuata mkumbo and easily influenced,uneducated base,voting base!.
If you need vote,look for votes.We do not have smart voters in Tanzania!..

Keep the spirit of change on!...Dr. Slaa is our choice.
 

hapo kwenye red mkuu, air time wamejaribu kununua wanakataliwa. (sina uhakika, ila marudio ya mdahalo kuzuiwa dakika za mwisho ni sababu tosha)
 

Rev. Kishoka, embu waambie hawa wachovu wa Chadema tofauti ya MDAHALO na "ana kwa ana na ...".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…