Hujuma dhidi ya Taifa Stars

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,804
Reaction score
10,715
Nimeshangaa kuona habari inayobeba gazeti la mwanaspoti. Katika kipindi ambapo vyombo vya habari vinatakiwa kuhubiri umoja, ili kuipa sapoti timu yetu ya taifa mwandishi anahamasisha usimba na uyanga. Ameandika "Simba yaitia aibu Yanga Dar" huku habari yenyewe ikilenga uchache wa wachezaji wa Yanga Stars. Kwa mtazamo wangu huku ni kuihujumu timu ya taifa kufuatia mapenzi binafsi. Waandishi muwe makini na habari mnazoandika.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…