Nilikuwa najaribu kujiuliza kwanini kuanzia jana mchana mapambano ya kulazimisha ushindi kwa CCM na hasa kuwanyima Chadema ushindi wao hasa katika majimbo ya Segerea, Kigoma Mjini, Karagwe, NGara, n.k
kumbe sasa hivi Chadema na CUF wana jumla ya viti vya ubunge 24 (CUF wana viti 22 kutoka Zanzibar na 2 kutoka Bara). Iwapo chadema watapata angalau kiti kimoja tu cha ubunge basi wanahakikishiwa kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni. Kwa CCM hii ni hatari na hasa ni hatari zaid kwa mafisadi.
kwa matiki hii, usishangae CCM wakawa tayari kumwaga damu ili kuhakikisha chadema hawapati kiti kingine cha ubunge.
Nilikuwa najaribu kujiuliza kwanini kuanzia jana mchana mapambano ya kulazimisha ushindi kwa CCM na hasa kuwanyima Chadema ushindi wao hasa katika majimbo ya Segerea, Kigoma Mjini, Karagwe, NGara, n.k
kumbe sasa hivi Chadema na CUF wana jumla ya viti vya ubunge 24 (CUF wana viti 22 kutoka Zanzibar na 2 kutoka Bara). Iwapo chadema watapata angalau kiti kimoja tu cha ubunge basi wanahakikishiwa kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni. Kwa CCM hii ni hatari na hasa ni hatari zaid kwa mafisadi.
kwa matiki hii, usishangae CCM wakawa tayari kumwaga damu ili kuhakikisha chadema hawapati kiti kingine cha ubunge.
lengo la chadema sio kuwa chama kikuu cha upinzani, bali ni kuwa chama tawala, mbona bado mmelala hivyo jamani???:A S angry:
Nilikuwa najaribu kujiuliza kwanini kuanzia jana mchana mapambano ya kulazimisha ushindi kwa CCM na hasa kuwanyima Chadema ushindi wao hasa katika majimbo ya Segerea, Kigoma Mjini, Karagwe, NGara, n.k
kumbe sasa hivi Chadema na CUF wana jumla ya viti vya ubunge 24 (CUF wana viti 22 kutoka Zanzibar na 2 kutoka Bara). Iwapo chadema watapata angalau kiti kimoja tu cha ubunge basi wanahakikishiwa kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni. Kwa CCM hii ni hatari na hasa ni hatari zaid kwa mafisadi.
kwa matiki hii, usishangae CCM wakawa tayari kumwaga damu ili kuhakikisha chadema hawapati kiti kingine cha ubunge.
Kwa hilo hawawezi hadi sasa hakuna chama kingine zaidi ya CCM kitakachoipiku Chadema wabunge, usisahau idadi ya kura za uraisi nayo itachangia kwenye 30% ya viti maalum kitu ambacho Lipumba ameshamaliza pumzi yeye alitegemea kura za Pemba na Kusini ambazo tayari zimeshatolewa.
Pia kuna majimbo ambayo kura za wabunge bado kupigwa. Anaeyafahamu atuorozeshee hapa.
Nilikuwa najaribu kujiuliza kwanini kuanzia jana mchana mapambano ya kulazimisha ushindi kwa CCM na hasa kuwanyima Chadema ushindi wao hasa katika majimbo ya Segerea, Kigoma Mjini, Karagwe, NGara, n.k
kumbe sasa hivi Chadema na CUF wana jumla ya viti vya ubunge 24 (CUF wana viti 22 kutoka Zanzibar na 2 kutoka Bara). Iwapo chadema watapata angalau kiti kimoja tu cha ubunge basi wanahakikishiwa kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni. Kwa CCM hii ni hatari na hasa ni hatari zaid kwa mafisadi.
kwa matiki hii, usishangae CCM wakawa tayari kumwaga damu ili kuhakikisha chadema hawapati kiti kingine cha ubunge.
Majimbo bado kupigwa ni pamoja na Mpanda Kati (chadema -mh arfi)
usimshangae!!! hizo ndio akili zetu hatuwazi mambo makubwa, ndio hao wakipewa elfu 2 na doti ya khanga au t-shirt miaka mitano!!:smile-big:Wee umerogwa eenh? nani alokwambia lengo ni chama kikuu cha upinzani, lengo ni upinzani kuwa juu! wee unawaza kubomoaaa-toa uchafu wako huu.
Lengo la chadema sio kuwa chama kikuu cha upinzani bali ni kuifanya ccm kuwa chama kidogo cha upinzani, toa blanket la usingizi hilo mtz!:A S angry::A S angry:
usimshangae!!! hizo ndio akili zetu hatuwazi mambo makubwa, ndio hao wakipewa elfu 2 na doti ya khanga au t-shirt miaka mitano!!:smile-big:
Mhhh unayosema huenda yakawa na ukweli kiasi fulani. Lakini hebu tujiulize mengi ya mambo mazuri chadema ilyafanya bungeni kipindi kilichopita je ilikuwa ni chama kikuu cha upinzani???? Idadi ya wabunge wa chadema ilikuwaje????(5 tu) lakini walifanya kazi nzuri na kubwa. Hivyo basi, mi nafikiri wasiumize saana kichwa na kujenga uhasama na chuki na wapinzani wenzao, badala yake nashauri wajaribu kujenga mahusiano na wenzao kama itawezekana, maana sidhani kama unaweza afikiana na mtu kama Lyatonga ambaye ameshaomba JK amchague kama waziri wa mambo ya ndani. Vinginevyo Chadema wajipange uzuri, wagawane majukumu na wananchi tunategemea watafanya kazi nzuri zaidi na ya kutukuka ili uchaguzi ujao tulichukue bunge zaidi ya 50%. Ama kwa majimbo ambayo kuna ushahidi ulowazi wa hujuma kama Kibaha Shinyanga mjini na Segerea basi Mabere na Tundu wajipange uzuri wafungue kesi mahakamani kupinga matokeo hayo. Katika hili nawaomba Chadema wawe strategic saana, wafungue zile kesi tu wanazoona kuna ushahidi wa kutosha ili kwanza kusevu gharama za uendeshaji kesi na pia kupunguza matumizi ya muda kwenye kesi badala ya kuutumia muda huo kuwatumikia wananchi. Chadema inabidi mkumbuke kuwa miaka mitano ni michache saana, wanachi wanategemea mengi toka kwenu, mkiweza kuyatenda yakaonekana basi mtakuwa mmejenga misingi ya kurudi bungeni 2015 na kuongeza idadi ya wabunge, lakini mkishindwa kutekeleza basi hamtorudi bungeni 2015 na mtakuwa mmeua kabisa nguvu ya upinzani nchini1