Hujuma NECTA Kanisa linahusika


Wewe kilaza mbona hujaoanisha title na mada?? Rudi shule au kwa akili hizi ulidhani NECTA wangekupa A?? Form four failure kaazi kweli kweli ....MODS...Jukwaa linapoteza maana sidhani kama kuna haja ya kuacha ***** kama huu jukwaani..Hata waislamu wa kweli wanakushangaa..
 
hilihalina uchochezi kwasabababu baraza laelimu tumeliona linatoa matokeo nalinafuta hililinamaanisha nyumayabaraza lamitihani kunamsemaji kwanini waliofeli wafaulu hakunamsomi anatoa matokeomarambili.
 
hilihalina uchochezi kwasabababu baraza laelimu tumeliona linatoa matokeo nalinafuta hililinamaanisha nyumayabaraza lamitihani kunamsemaji kwanini waliofeli wafaulu hakunamsomi anatoa matokeomarambili.

kwahiyo we unasemaje au unataka tukusaidie nini?
 

Hivi jamani mmemuelewa huyu jamaa?Kanisa linahusika vipi hapa!!!Jipange tena uje na hoja zenye mashiko...she*zi
 

Katika shule hizo za kiislamu ACHENI KUKARIRISHA KURANI na mfundishe kisawasawa kwa kuweka wastani wa ufaulu ndani yashule zenu. Kuhakikisha mwanafunzi asiefikisha anafukuzwa au kutafuta shule ya wajinga wenzie.
Nina mashaka humu katika shule hua kuna mashindano ya KUHIFADHI KURANI na sio kimasomo dunia....... Kwa mtindo huu hata mkiambiwa MLIIBA MITIHANI NDO MAANA MKAFUNGIWA SISHANGAI na msilalame tu.
 
Kuna mstari katika BIBLE unasema "Mkamate sana elimu, wala msumuache aende zake". Mambo kwa mpangilio bana sio kuamkia madrasa ukijua shule haina umuhimu duniani na ahera.
 
  1. Kaajiri Mchungaji kushughulikia Bible Knowledge. Islamic kampa mtu asiyejua hata kusoma Herufi ya Kiarabu. Huu ni uhuni.


Mengine tutayataja.

Tatizo wanaojua kiarabu wameishia madrassa na sifa za kuajiriwa pale kama afisa uwe na degree ya kwanza iliyotulia na Masters juu yake au uwe potential candidate kwa ajili ya masters...

Pili ivi Islamic knowledge inahusiana nini na kiarabu?? Kwani hiyo ni Arabic Language?? After all kila kitu kinafanywa na wataalamu wa hilo somo toka shuleni sasa huyo ni coordinator tu mapovu ya nini?? Mpelekeni Sheikh Ponda akairatibu ili wote mpate A halafu muelekee Kwenye kijiwe chenu mnachokiita Chuo kikuu hapa Morogoro.....
 
hilihalina uchochezi kwasabababu baraza laelimu tumeliona linatoa matokeo nalinafuta hililinamaanisha nyumayabaraza lamitihani kunamsemaji kwanini waliofeli wafaulu hakunamsomi anatoa matokeomarambili.

Kwa uandishi huu unategemea nini kama sio kuzungusha?? Halafu utalalamika kuwa ulifelishwa wewe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…