Hujuma: Riwaya ya A Musiba sasa inapatikana Tanzania rasmi

Hujuma: Riwaya ya A Musiba sasa inapatikana Tanzania rasmi

MSHILWANOGI

Member
Joined
Jun 5, 2011
Posts
11
Reaction score
7
Leo nilikuwa nasaka kitabu kipya chochote cha kusoma, ila kiwe cha kipelelezi na mapigano, nikakutana na kitabu kipyaaaa! Quality nzuri cha Musiba kiitwacho hujuma. Kilikuwa kimefungiwa kitabu hiki miaka ile ya wahujumu uchumi dhidi ya ujamaa. Nikamuuliza muuzaji wake akasema kimetokea KENYA. Nikasoma kama dakika 20 hivi baada ya kukikagua na kuona kina address ya mchapaji na kampuni husika,,,HABARI NDO HIYO...KINAPATIKANA KAMA nitapata nafasi nitakichambua japo kidogo. Naambiwa kinapatikana UBUNGO tu kwa watu wa BONGO WRITERS
HUJUMA FINAL COVER.jpg
 
Kuna movie nyingi Sana za kuangalia zinatuaubiri. Currently na Zina mafunzo mengi na ujanja mwingi. Full butdani. Hi ni karne ya 21.
 
Kuna movie nyingi Sana za kuangalia zinatuaubiri. Currently na Zina mafunzo mengi na ujanja mwingi. Full butdani. Hi ni karne ya 21.
nmecheka sana
kwahiyo unafaidika nini na hizo movie?
 
Hiki kitabu sijakipenda kwa kweli jamaa alitufanyia hujuma wakereketwa wa Willy Gamba
 
Hivi A E Musiba ana undugu na huyu wa Tanzanite gazzete? Kama ndiyo basi Akili Hairithishwi!
 
HUJUMA
A.E . MUSIBA

Kwa
Waafrika ni mali ya Waafrika ,hivyo
Hujuma yoyote inapaswa kupingwa vikali.



“Afrika iliyojikomboa kwa uhuru wa bendera ,haiwezi
Kuwa huru kama wananchi wake,hasa walioaminiwa na
kushika madaraka wataamua kushirikiana na mabepari
kuhujumu rasilimali za mataifa yao wenyewe”

-ANDREW ENIUS MUSIBA_


kaeni mkao wa faida kusoma riwaya hii
no strings attached
 
Mimi wa mkoani nitakipataje au utakishusha hapa
HUJUMA
A.E . MUSIBA

Kwa
Waafrika ni mali ya Waafrika ,hivyo
Hujuma yoyote inapaswa kupingwa vikali.



“Afrika iliyojikomboa kwa uhuru wa bendera ,haiwezi
Kuwa huru kama wananchi wake,hasa walioaminiwa na
kushika madaraka wataamua kushirikiana na mabepari
kuhujumu rasilimali za mataifa yao wenyewe”

-ANDREW ENIUS MUSIBA_


kaeni mkao wa faida kusoma riwaya hii
no strings attached
 
HUJUMA
A.E . MUSIBA

Kwa
Waafrika ni mali ya Waafrika ,hivyo
Hujuma yoyote inapaswa kupingwa vikali.



“Afrika iliyojikomboa kwa uhuru wa bendera ,haiwezi
Kuwa huru kama wananchi wake,hasa walioaminiwa na
kushika madaraka wataamua kushirikiana na mabepari
kuhujumu rasilimali za mataifa yao wenyewe”

-ANDREW ENIUS MUSIBA_


kaeni mkao wa faida kusoma riwaya hii
no strings attached
Hayo majina mawili ya mwanzo sio sahihi. Majina yake sahihi ni Aristablus Elvis Musiba.
 
Back
Top Bottom