Mtz.mzalendo
JF-Expert Member
- Jul 22, 2012
- 357
- 49
Naomba nikuulize,
Je Islamic Knowledge ina mchango gani katika career za wanafunzi? Je inachangia vipi katika kuendelea kusoma masomo ya mbele.
nadhani hakuna asiyefahamu kuwa sasa waislam wanapigana kulipinga kwa kile walichofanyiwa ktk somo la islamic knowledge,hivyo kufikia uamuzi kutofanya mtihani mpaka livunjwe,mimi cdhani km hii ni haki kwani hawapaswi kusahisha mitihani kwa mujibu wa dini ya mtu
ebu na wewe sema hivi bible knowledge inayosahihishwa vema ina mchango gani kwenye career za wanafunzi
na ile bible knowledge in a faida gani, think twice!