Elections 2010 Hujuma Zingine kwa Serikali Dhidi ya Wanavyuo hizi hapa

Sielewi ni kwa nini huwa wanachukuwa anuani za wananfunzi wnapokuwa wanajaza fomu za kujiunga. Sasa shirika la posta liko kwa kazi gani?

Huu ni ukandamizaji mwingine wa demokrasia.
 
Litakuwa wazo la Ridhiwani tu maana Baba mtu anaanguka sana:dance:

Mkuu umenena vyema, yeye kwa Sababu ya Utajiri wa Baba yake anaweza hata kwenda Ijumaa Havard kuchukua Form halafu akarudi Jumatatu Basi anafikiri kila mtu ana uwezo huo

Yaani Mtoto umtoe Mwanza aje Dar kuchukua form na wakati hizi form zingeweza kutumwa kwenye e-mail au kwa njia ya posta na bado watu wakazipata

Huu ni Uharamia tu
 
Kama waliomba admission kwa internet au simu kwa nini wasipewe hiyo admission kwa njia hiyo hiyo? Dawa ni kuchelewa na barua zao watazikuta baada ya uchaguzi. Viongozi wa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kama kweli ni wazalendo kama wakati wetu watangaze wanafunzi hao kufika vyuoni baada ya uchaguzi na barua zao za admission watazikuta kwenye vyuo vyao bila shida.
 

Wameogopa matokeo ya TCIB!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…