Ha ha ha haWANAJIVUNIA KWELI HIZO POINTS 0.5 hawana hata mpango wa kuziongeza wamebaki kwenye majungu
Namungo wadogo zake Simba,wengine mtajijua sisi Simba atuna undugu na mazezeta.
Ujinga ni kipaji kumbe [emoji1787][emoji1787]Makolo wamepiga bomu mochwari
HakikaDALILI NYINGINE YA UCHAWI NI KUISHABIKIA YANGA[emoji881][emoji881][emoji881][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Ngoja nifuatilie isije ikawa Zalan wanawazidi Utopolo msimamo CAFOhoo walifungwa na Namungo hawa? Kwaiyo nini? unawachukulia Namungo poapoa? kwa mujibu wa shirikisho la soka barani africa,
Simba ni ya 14 ikiwa na pointi 28,
De Agosto ni ya 28 ikiwa na pointi 10, Namungo ni ya 56 ikiwa na pointi 2, Utopolo ni ya 75 ikiwa na 0.5.
Kuweni na heshima, wapuuzi kabisa!
View attachment 2381887View attachment 2381889View attachment 2381890