ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 1,035
- 920
Sote waislamu na wakristu tunaamini katika maisha baada ya kifo.Pia kwa sisi wakristu tunaambiwa mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa,which means hakutakuwa na kuzaana.
Sasa najaribu kujiuliza,huko mbinguni kutakuwa na marika(umri) tofauti yaani watoto vijana na wazee,au sote tutakuwa na rika moja.
Na kama ni rika moja,je ni lipi?Utoto,Ujana au Uzee.Au ni ile age tukifa nayo ndo inagandishwa hiyo hiyo??
Sasa najaribu kujiuliza,huko mbinguni kutakuwa na marika(umri) tofauti yaani watoto vijana na wazee,au sote tutakuwa na rika moja.
Na kama ni rika moja,je ni lipi?Utoto,Ujana au Uzee.Au ni ile age tukifa nayo ndo inagandishwa hiyo hiyo??