Mbinguni hakuna mambo mengi, hakuna hotel, ni kula mkate na divai, kuimba na kusali tu.
One more thing mbinguni ni furaha, ndo maana biblia inatueleza kuwa tusitake kujua habari za wafu, Mungu hakutaka tujue furaha iliyopo mbingu ili tuwe na hofu ya kufanya maovu tukijua mbinguni ni raha tupu.ila kiuhalisia mbinguni ni raha tupu.
Age ulokufa nayo ndo unabaki nayo ndo maana halisi ya kuzaliwa upya.
Ushawahi kujiuliza kwanini ukimuota mtu alokufa unamuota katika muonekano ule alotoka nao duniani?
Nawazaga tu siku nikifaga nikifika tu mbinguni baba yangu atakuja anikumbatie kwa furaha, shoga yangu ataniita kwa sauti my wiiiiii akifurahi kuniona, shoga yangu mery nae atanikumbati,bibi yangu yaani wote marafiki zangu watanikumbatia.baada ya hiyo furaha ya watu wangu wa karibu, ntamuona kwa mbali jpm ntaenda nimsalimie.hivyo yaan.