Huko Mbweni kuna Nyumba za Viongozi wa Serikali? Wanatuwekea sana foleni na ving'ora vyao Asubuhi na Jioni

Huko Mbweni kuna Nyumba za Viongozi wa Serikali? Wanatuwekea sana foleni na ving'ora vyao Asubuhi na Jioni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna mantiki gani Kiongozi wa Serikali kukaa Mbweni na kazi anafanya Posta?

Kwa mfano Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi wangekuwa wanatumia hata Chopa kama ile ya Chadema.

Kumekuwa na foleni sana kuanzia Africana hadi Palm Beach kwa sababu ya kuwasubiria wao wapite.

Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu wa mbinguni 😄😄
 
Komaa hukulazimishwa kuishi dar. Kama hutak folen nenda mkoani.
Au pambana na serikali yako ikujengee flyover za kutosha.
 
Back
Top Bottom