Huko nyuma CCM ilikuwa mali ya wakulima na wafanyakazi, leo kimegeuka kuwa mali ya wanaCCM wanaounga mkono ufisadi na kuwona Watanzania mabwege

Huko nyuma CCM ilikuwa mali ya wakulima na wafanyakazi, leo kimegeuka kuwa mali ya wanaCCM wanaounga mkono ufisadi na kuwona Watanzania mabwege

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Labda kwa vijana waliozaliwa majuzi hawawezi kujua hii fact.

Huko nyuma CCM ilikuwa ni mali ya umma. Ilimilikiwa na wakulima na wafanyakazi kwa manufaa ya taifa letu.

Uongozi ndani ya CCM ulikuwa sio wa kurithisha mtu hata kama hana uwezo wa kuwa kiongozi.

Leo hii kuna wanaCCM walirithishwa na kupigiwa mapande kuwa viongozi wa chama na serikali, imefikia hatua wanaona hii nchi na CCM ni mali ya familia yao.

Wapo radhi kuwaona wanasapoti ufisadi na kuwaona Watanzania ni mabwege.

My take: Ipo siku Watanzania watanyanyuka na hii CCM mnaodhania ni mali ya familia yenu itarudi mikononi mwa Watanzania.
 
Jichomeni morphine wakuu, mbona ndo kwanza safari inaanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kumbukumbu ya mzee nauye ni kivuli kilichotumika kuonesha kuwa wao wanaijua nchi na hakuna wakuitawala bila wao
 
Back
Top Bottom