Huko Tokyo, wafanyikazi wa serikali kufanya kazi siku 4 tu kwa wiki. Hii ndio sababu

Huko Tokyo, wafanyikazi wa serikali kufanya kazi siku 4 tu kwa wiki. Hii ndio sababu

BabaMia

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2024
Posts
270
Reaction score
554
Serikali ya Manispaa ya Jiji la Tokyo Nchini Japan inatarajia kuweka ratiba mpya ya kazi kwa wiki nzima kwa Wafanyakazi wa Serikali ambayo itaweka bayana kwamba siku za kazi sasa zitakuwa nne tu kwa wiki (Jumatatu, Jumanne, Jumatano na Alhamisi) huku siku za mapumziko zikiwa tatu kwa wiki (Ijumaa, Jumamosi, Jumapili).

Akizungumza katika hotuba ya sera wakati wa kikao cha kawaida cha Bunge la Metropolitan Tokyo, Gavana wa Jiji hilo, Yuriko Koike amesema sheria hiyo inatarajiwa kuanza kutekelezwa rasmi kuanzia April 2025.
1734088851451.png
Koike amesema Serikali ya Jiji hilo imepanga kufanya mageuzi hayo ili kuboresha mazingira na unyumbulifu katika maeneo ya kazi ikiwemo kuwasaidia Wanawake walio makazini kusawazisha majukumu yao ya kazi na Familia.

Tokyo imeungana na Mkoa wa Miyagi wa hukohuko Japan ambao tangu October mwaka huu ulitangaza mpango wa kupunguza wiki ya kazi kuwa siku nne tu kwa wiki kwa Wafanyakazi wote wa Mkoa ifikapo mwaka wa fedha 2026.

Sababu za Serikali nyingi za Japan kutekeleza mpango huo ni kutokana na Nchi hiyo kukabiliwa na tatizo la uzazi na kiwango cha Watoto kuzaliwa kushuka hadi rekodi ya kiwango cha Watoto 1.2 kwa kila Mwanamke.
 
Ina maana hawapigani miti kwa sana mpaka wawe na watoto kidogo hivyo?
 
Hivi kwani hii ratiba ya kazi j3 hadi Ijumaa aliipanga nani na Aliweka videzo gani!?
 
uchumi utayumba sna.siku 3 ni nyng.tabia ya wanawake wa japan wanaogopa sana kubeba mimba.
 
wajapani,wachina na wakorea hawa jamaa wanapiga kazi vibaya mno miaka ya 80 tulikua nao sawa kiuchumi leo wote wapo top 10 kweny uchumi mkubwa

kweli wanahitaji kupumzika wafaidi jasho lao
 
Serikali ya Manispaa ya Jiji la Tokyo Nchini Japan inatarajia kuweka ratiba mpya ya kazi kwa wiki nzima kwa Wafanyakazi wa Serikali ambayo itaweka bayana kwamba siku za kazi sasa zitakuwa nne tu kwa wiki (Jumatatu, Jumanne, Jumatano na Alhamisi) huku siku za mapumziko zikiwa tatu kwa wiki (Ijumaa, Jumamosi, Jumapili).

Akizungumza katika hotuba ya sera wakati wa kikao cha kawaida cha Bunge la Metropolitan Tokyo, Gavana wa Jiji hilo, Yuriko Koike amesema sheria hiyo inatarajiwa kuanza kutekelezwa rasmi kuanzia April 2025.
Koike amesema Serikali ya Jiji hilo imepanga kufanya mageuzi hayo ili kuboresha mazingira na unyumbulifu katika maeneo ya kazi ikiwemo kuwasaidia Wanawake walio makazini kusawazisha majukumu yao ya kazi na Familia.

Tokyo imeungana na Mkoa wa Miyagi wa hukohuko Japan ambao tangu October mwaka huu ulitangaza mpango wa kupunguza wiki ya kazi kuwa siku nne tu kwa wiki kwa Wafanyakazi wote wa Mkoa ifikapo mwaka wa fedha 2026.

Sababu za Serikali nyingi za Japan kutekeleza mpango huo ni kutokana na Nchi hiyo kukabiliwa na tatizo la uzazi na kiwango cha Watoto kuzaliwa kushuka hadi rekodi ya kiwango cha Watoto 1.2 kwa kila Mwanamke.
Hawataki kuzaa, idadi ya wazee inazidi kukuwa, wameishia na negative population growth.
 
wajapani,wachina na wakorea hawa jamaa wanapiga kazi vibaya mno miaka ya 80 tulikua nao sawa kiuchumi leo wote wapo top 10 kweny uchumi mkubwa

kweli wanahitaji kupumzika wafaidi jasho lao
Wanapiga kazi na wanaona faida ya jasho lao..maendeleo yanaonekana hakuna wizi wizi wa kipuuzi huduma za afya na jamii kwa ujumla ni nzuri..ila huku kwetu watu wanakata tamaa matumizi ya viongozi ni makubwa mno..wanakula hovyo fedha za uma...
 
Serikali ya Manispaa ya Jiji la Tokyo Nchini Japan inatarajia kuweka ratiba mpya ya kazi kwa wiki nzima kwa Wafanyakazi wa Serikali ambayo itaweka bayana kwamba siku za kazi sasa zitakuwa nne tu kwa wiki (Jumatatu, Jumanne, Jumatano na Alhamisi) huku siku za mapumziko zikiwa tatu kwa wiki (Ijumaa, Jumamosi, Jumapili).

Akizungumza katika hotuba ya sera wakati wa kikao cha kawaida cha Bunge la Metropolitan Tokyo, Gavana wa Jiji hilo, Yuriko Koike amesema sheria hiyo inatarajiwa kuanza kutekelezwa rasmi kuanzia April 2025.
Koike amesema Serikali ya Jiji hilo imepanga kufanya mageuzi hayo ili kuboresha mazingira na unyumbulifu katika maeneo ya kazi ikiwemo kuwasaidia Wanawake walio makazini kusawazisha majukumu yao ya kazi na Familia.

Tokyo imeungana na Mkoa wa Miyagi wa hukohuko Japan ambao tangu October mwaka huu ulitangaza mpango wa kupunguza wiki ya kazi kuwa siku nne tu kwa wiki kwa Wafanyakazi wote wa Mkoa ifikapo mwaka wa fedha 2026.

Sababu za Serikali nyingi za Japan kutekeleza mpango huo ni kutokana na Nchi hiyo kukabiliwa na tatizo la uzazi na kiwango cha Watoto kuzaliwa kushuka hadi rekodi ya kiwango cha Watoto 1.2 kwa kila Mwanamke.
Sio wa kuwaiga hawa walishajipata sisi tuendelee na mpambano 24/7 maana ndiko walikotoka kwa kazi za jasho na damu hakuna kupumzika.
 
Serikali ya Manispaa ya Jiji la Tokyo Nchini Japan inatarajia kuweka ratiba mpya ya kazi kwa wiki nzima kwa Wafanyakazi wa Serikali ambayo itaweka bayana kwamba siku za kazi sasa zitakuwa nne tu kwa wiki (Jumatatu, Jumanne, Jumatano na Alhamisi) huku siku za mapumziko zikiwa tatu kwa wiki (Ijumaa, Jumamosi, Jumapili).

Akizungumza katika hotuba ya sera wakati wa kikao cha kawaida cha Bunge la Metropolitan Tokyo, Gavana wa Jiji hilo, Yuriko Koike amesema sheria hiyo inatarajiwa kuanza kutekelezwa rasmi kuanzia April 2025.
Koike amesema Serikali ya Jiji hilo imepanga kufanya mageuzi hayo ili kuboresha mazingira na unyumbulifu katika maeneo ya kazi ikiwemo kuwasaidia Wanawake walio makazini kusawazisha majukumu yao ya kazi na Familia.

Tokyo imeungana na Mkoa wa Miyagi wa hukohuko Japan ambao tangu October mwaka huu ulitangaza mpango wa kupunguza wiki ya kazi kuwa siku nne tu kwa wiki kwa Wafanyakazi wote wa Mkoa ifikapo mwaka wa fedha 2026.

Sababu za Serikali nyingi za Japan kutekeleza mpango huo ni kutokana na Nchi hiyo kukabiliwa na tatizo la uzazi na kiwango cha Watoto kuzaliwa kushuka hadi rekodi ya kiwango cha Watoto 1.2 kwa kila Mwanamke.
Kuna siku nilisoma makala kuhusu ufanyaji kazi Japan. Huko wanashindana kufanya kazi kwa bidii.

Kuna Wajapan huko wanafanya kazi saa 21 mfululizo kwa siku na kupumzika saa 3 tu mpaka serikali ya Tokyo ikaandaa utaratibu wa kuwafukuza watu maofisini waende wakapumzike.

Hivyo, wapo sawa kupunguza siku za kufanya kazi kwa sababu Wajapan wanapenda kufanya kazi huku wakiathiri uzazi.

Nchi kama hiyo ndiyo ipo sirias na mustakabali wa Taifa kwa sababu inaona hatari ya Taifa kukosa nguvu kazi miaka ijayo.
 
Wananchi hawana nyege, sema videm vya kijapan navyo havivutii aisee.
 
Back
Top Bottom