Huku bush hata tarehe cjui,kama nimekosea mnisamehe....

ZeMangi

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2011
Posts
436
Reaction score
33
"HAPPY NEW YEAR
2012"
duh,huu mwaka umeanza vizurieee,mh japo ckumbuki leo ni tarehe ngapi!Jamani tusherehekee wote mwaka mpyaaaaa....
 
Umekosea ni mwezi wa 6 mwaka 2013 ndo kwaanza mwaka umefika katikati
 
Umekosea ni mwezi wa 6 mwaka 2013 ndo kwaanza mwaka umefika katikati
asante,nimeelewa mwezi wa 6,kwa hiyo nitahesabu cku 31 kuanzia leo then itakuwa imefika mwez wa 10,si eti?
 
Huku kwetu ndo kwanza heka heka za kampeni uchaguzi mkuu zimeshika kasi...
 
Mtafanyaje kampeni mwezi wa kwanza?labda uniambie kwamba leo ni Tar 10/02/2010 cku ambayo uchaguzi unafanyika
 
"HAPPY NEW YEAR
2012"
duh,huu mwaka umeanza vizurieee,mh japo ckumbuki leo ni tarehe ngapi!Jamani tusherehekee wote mwaka mpyaaaaa....
ni kweli ze mangi, wewe si unawaza hela tu, ila leo ni 2014
 
ni kweli ze mangi, wewe si unawaza hela tu, ila leo ni 2014
acha uongo aisee,wakati 2014 nilikuwa na mwaka m1 na miezi 13....labda kama umekosea ni mwaka 2004.
 
Tumia visoda kuesabu maana kosa sio lako kosa nila watu walioiweka ccm madarakani, watoto vijijini wanamaliza std7 bila kujua kusoma na kuandika
na kusoma wakiwa wamekalia mawe
 
Poa Shine,ukweli kabsa,coz nilimuuliza mshuwa"eti rais wa nchi ye2 ninan?"kanijb "JK Nyerere"ukimuuliza mwaka aliozaliwa anaxema kipindi kabla ya uhuru,sasa mm namshangaa,kwani Tz si 2lipata uhuru mwaka 1691 eti jamani,au na mm nimekosea?maana huku bush noma.
 
eti Ze Mangi nasikia huwa mnajua muda kwa kutazama jua,
je siku jua lisipo waka huwa inakuwaje??
 
eti Ze Mangi nasikia huwa mnajua muda kwa kutazama jua,
je siku jua lisipo waka huwa inakuwaje??
teh teh teh.,we acha 2,huwa ukiulizwa ni saa ngapi?unajibu...asbuh,mchana au jion utakavyojisikia,kumbuka tu kwamba huku nilipo sio uchagani ila ni maeneo fulan ambapo daladala kwao ni baiskel.
 
Ahahahaah!! Hivi uko nchi gani zemangi.
 
Ahahahaah!! Hivi uko nchi gani zemangi.
panaitwa Ilangasika,nilipakia gari hadi mwanza,nikalala guest maana nilifika sa4 ucku,asubuh nikavuka kamanga ferry nikapakia coaster had geita,nikapakia mchomoko (vigari vidogo vya biashara NOAH,GYPSUM etc..)hadi sehemu 1 inaitwa katoro,nikapakia tena mchomoko hadi Lwamgasa,nikapakia daladala(pikipiki)hadi kilombero moja(sio ya moro lkn)hapo nikaanza kuchanja mbuga kwa mguu kama KM 4 hivi ikawa ni saa 1 jion,ikabidi kumpigia mwenyeji cm akaniambia nilale hapo kesho niendlee na safr,nikalala sehem yenyewe inaitwa Bukoli,kesho yake mwenyeji akanifuata haooo kwa miguu hadi 2kafika ILANGASIKA katika maisha yangu sikutegemea kuwa Tz kuna mazingira kama haya,ni noma,sikufichi huduma za kijamii hakuna hosp.,wtt(s/m) wanatembea km 7 ndo wafike shule.,nilichopapendea tu ni kwamba mh!kuna mabinti wazur we acha 2,ila maskini hawajui chochote.
 
Ila kweli upo kijijin had network inashika uko juu mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…