mhugo hantish
Senior Member
- Apr 21, 2015
- 137
- 36
Pamoja na kuahirisha tarehe 30.4.2015 ya kuipigia kura katiba inayopendekezwa bado vijijini kumekua na sintofahamu juu ya katiba hiyo. Nitumie fursa hii kuiomba bunge maalum la katiba kua inatakiwa zitolewe nakala za kutosha kuwafikia wananchi hasa vijijini. Baadhi hawajui kusoma hata kuandika Lakini wana mawazo ya kujenga taifa letu. Hiyo ni changamoto kwa waelimishaji.