Utajiri ni bank statement....i do value that sio mbwembwe zingine...kuna mbwiga akaja kuni konvice sijui Qnet na picha kapiga kwenye gari ...nikamwambia brother convice me by bank statement flow chart..naona hajatokea tena.Aiseee [emoji848]
Wengine utajiri wetu upo kwenye knowledge hayo mengine ni matokeoI think kila mtu ana definition yake ya utajiri mkuu, kuna mwingine atakupinga hata wewe atakwambia kwake bora bank kusome zero ila awe amewekeza kwenye vitega uchumi (pesa ya mzunguko)
As i said kila mtu ana definition yake.Wengine utajiri wetu upo kwenye knowledge hayo mengine ni matokeo