Huku kuna mwanaume pale kuna mwanamke kama ni wewe ungekaa wapi ?

mkuu safari yenyewe ya mchana au usiku??
 
Umenikumbusha siku zile nikiwa naenda chuo Moro kutokea Moshi.. nawahi kukata ticket ya Hood siku 1 kabla ya safar, then nampa mkata tiketi buku tano namwambia ahahakikishe safari yangu inakuwa ya kufurahisha. Aisee yule mkata ticket alikuwa hafanyagi makosa... Nilikuwa napangiwa mademu wakali hadi bas.... hata hivyo kati ya safari zaidi ya kumi, wawili tu waliwahi kuingia line... dah! Sijui sikufahamu kutongoza!!!
 

Lione vile....!
 
Mimi nakaa na mwanamke mwenzangu tuchape umbeya
 
Kwanza naangalia umbo la mtu mwenyewe. Sipendi kukaa na watu wenye maumbo makubwa. Kingine nitaangalia umri kama tunaendana.
 
Mimi nakaa na mwanamke mwenzangu tuchape umbeya

Zinduna Acha unafiki ! Tena ukute safari yenyewe ni pande za Nrb au Kericho, Arusha winter lake! Alafu ukae na Manzi mwenzio ? Inahu...?
 
Nimesafiri mara nyingi lakini sijawahi kubahatika kupata seat pamoja na kabinti kazuri siku zote nakutana na mmama.
 
nutakaa pale nafsi imechagua, haijalidhi kuna mwabaime au mwanamke, mradi nafsi imeamua na nitakya comfortable
 
mkuu mintakuwa makini sana! kunaabiria wengine wakuda sana! kila kituo ananunua mahindi mara miwa mara karanga! halafu anatafuna kama paka! halafu ukute mwongeaji domo linatema! noma! make kuna wadau midomo yao inatema kama vyoo vyastend! aaaaggggggrrrrhhh! afu kesho ninasafari eeeeh MUNGU niepushe bora nikae namzee msoma magazeti!
 
Nikiwa mwanaume nitakaa na mwanamke,nikiwa mwanamke vise versa....senkyuu.
 
Mm ngekaa na demu koz gari kama saibaba linapoharibika mpaka saa 6 ucku atakuhudumia na mengine!
 
no mjadala lazima nikae na demu, kukaa na man mwenzangu naonaga miyeyusho na safari nzima itaboa kwa upande wangu...
 
Co unakaa na lidingi likoloni,lenyewe mwanzo mwisho limenuna na kusoma magazeti yenye habari za siasa tu. Hapo lazma uboeke.
 
Safety ! Hii sasa niko kwenye Daladala huku navinjari na majukwaa nimepasukwa cheko! Abiria wananishangaa!

Kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeh nimeamua nikuunge mkono kucheka lakini waambie hii ndiyo JF bana.
 
inategemea na wewe ni jinsia gan alafu pia unapendelea jinsia ipi katka maongezi yako na pia inategemea upo vipi nikiwa na maana ya kwamba mwepesi kuzoeana na watu wa jinsia gan kwa haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…