MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, amezungumza na kusaini kitabu cha Mtoto wa Kitanzania Ada Marie Kemilembe (9) mkazi wa Columbia, Maryland, alipokutana nae Jijini Washington DC Nchini Marekani.
Taarifa: Ikulu Tanzania
Asikudanganye Mtu ukizaliwa au kuishi Mbele ( Ulaya na Marekani ) kamwe Akili zako haziwezi kuwa za hovyo hovyo, ila utakuwa tu ni Mtu ( Binadamu ) wa Maendeleo, Mwerevu na mpenda Kuthubutu na kufanya Makubwa kwa Jamii.
Taarifa: Ikulu Tanzania
Asikudanganye Mtu ukizaliwa au kuishi Mbele ( Ulaya na Marekani ) kamwe Akili zako haziwezi kuwa za hovyo hovyo, ila utakuwa tu ni Mtu ( Binadamu ) wa Maendeleo, Mwerevu na mpenda Kuthubutu na kufanya Makubwa kwa Jamii.