Huku mtaani kuuliza tu nachajiwa elfu mbili dah

Huku mtaani kuuliza tu nachajiwa elfu mbili dah

Julius Husseni

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2016
Posts
1,435
Reaction score
1,192
"kijana unatakiwa ufuate utaratibu wa mtaa wetu Kikubwa unaulizia ishu za michongo ya pesa lipia elfu mbili"
(Nahisi jamaa alikua anapiga fegi)

Nilikua nauliza kama naweza pata fremu mtaa fulani hivi, kiukweli bado hakuna madalali ni unaonana tu na mmiliki lakini jamaa hawakupi connection adi ulipie aisee. Tanzania Ndo timefikia huku? Kama Uganda?
 
"kijana unatakiwa ufuate utaratibu wa mtaa wetu Kikubwa unaulizia ishu za michongo ya pesa lipia elfu mbili"
(Nahisi jamaa alikua anapiga fegi)

Nilikua nauliza kama naweza pata fremu mtaa fulani hivi, kiukweli bado hakuna madalali ni unaonana tu na mmiliki lakini jamaa hawakupi connection adi ulipie aisee. Tanzania Ndo timefikia huku? Kama Uganda?
Tuliza wenge tupo masidonia🤣🤣
 
Back
Top Bottom