Wewe punguani ndiyo hujui sheria inasemaje umeshasafir kwenda kigoma wewe au unajamba tu kwa kuvimbiwa hapo lumumbaWewe unavyo? Au unafikiri kwa kutumia makalio? Unajua sheria inasemaje kuhusu uraia?
Mkuu Magufuli system ya chama chake ndo inambeba, lakini ni Rais gani ambaye hana mapungufu. Trump na yeye maskini kabebwa na system tu tena huyu angelikuwa na katiba kama ya tz angelikuwa mtu mbaya sana. Sema katiba ya wenzetu inampa maelekezo Rais kipi chakufanya, japo bado anajitutumua tu. Kwa biyo mkuu mimi na wewe mapungufu ni makubwa tu tena tunavumiliwa tu wanaotuzunguka.Mimi naamini kama magu aliupata urais pamoja na mapungufu yake yote, yeyote aweza kuwa rais na lissu akiwemo.
Mkuu usilalame sana kuhojiwa kila sehemu wanahojiwa hasa mikoa ambayo ipo mipakani.Wewe punguani ndiyo hujui sheria inasemaje umeshasafir kwenda kigoma wewe au unajamba tu kwa kuvimbiwa hapo lumumba
Kwanini watu mpaka waonekane wanaikosoa serikali ndio waanze kushurutishwa?Ushahidi upo mwingi,ukitofautiana tu mamlaka basi unaanza kutafutiwa kesi!Upuuzi mtupu!Bashe na Kakobe walihojiwa kwa mujibu wa sheria kuhakiki uraia wao.
We pimbi usie na akili,Geita ni Burundi. Ndio unamshauri Lissu aropoke upuuzi?
Wewe ndiyo unatumia kinyesi kufikiri kwa vigezo hivi ni dhahiri uwezo wako wa kufikiri ni Mdogo sana, kuwepo warundi vina uhusiano gani na vyeti vya mtukufu mwenyekiti wa CCM?So kwa sababu Geita kuna warundi wengi ndio JPM awe mrundi?
Ukiwa Geita hata kijijini namna gani Mrundi na Mnyarwanda wanajulikana. Mara kwa mara kuna operation za kuwakamata na kuwarudisha kwao. Acha kutumia kinyesi kufikiria tumia akili.
Utawala wa awamu ya tano ndiyo utawala penda penda kesi hakuna mfano Duniani, ukiwakosoa tu lazima wakubambikie kesi, wanatumia kesi kesi kama rungu la kuwakomoa wapinzaniKwanini watu mpaka waonekane wanaikosoa serikali ndio waanze kushurutishwa?Ushahidi upo mwingi,ukitofautiana tu mamlaka basi unaanza kutafutiwa kesi!Upuuzi mtupu!
Ndege na miradi yote mikubwa ya CCM imejaa ufisadi ndiyo maana walimtoa kafara CAG wapate kupiga bila kelele.CCM leteni sera zenu tuzijue, sio kila siku mnakuja na ishu za chadema tu
Lisu yuko hivyo na ataendelea kuwa hivyo na hizo ndio kampen
Sasa ww unataka mgombea wa chadema a aanze kwa kusifia ndege?
Ndege na miradi yote mikubwa ya CCM imejaa ufisadi ndiyo maana walimtoa kafara CAG wapate kupiga bila kelele.
Waambie wamuulize kwanza Jiwe Kama ana vyeti vya kuzaliwa vya babu yake na Bibi yake
Malawi Zambia kenya congo Ghana Gambia iliwezekana hata Tanzania sasa itawezekana pia hakuna mabaya yasiyo na mwisho wake,Tupeni ratiba ya rais mwingine anayetarajia kuja nchini kuokoa jahazi, maana linazama huku
Changudoa wa malunde kuwa mpole,serikali ya chama chako imekuwa kinara wa kuwahoji uraia wale wanaoikosoa,unataka kusema hizo sheria zimetengenezwa jwa wakosoaji pekee??Una uhakika kuwa hakuna raia wa nchi nyingine aloingia nchini kwa kujipenyeza na kupata kitambulisho cha NIDA??Naona wewe ndo unafikiri kwa kutumia hilo tundu katikati ya hayo makalio.Wewe unavyo? Au unafikiri kwa kutumia makalio? Unajua sheria inasemaje kuhusu uraia?
CCM hawana sera zaidi ya kurudia rudia yaleyale ya kila siku na baada ya kugundua chadema inawapeleka puta wameanza kutengeneza kisingizio propaganda za kishamba shamba wakizani watanzania wamelala kama wao.Sasa wao kila siku wako busy na chadema tu