Uchaguzi 2020 Huku ni kuishiwa hoja za kisiasa na nidhahiri mgombea wa CHADEMA amejitanabaisha hafai kuwa Rais

Chadema wameishiwa kila kitu wamebaki na matusi tu
Sidhani kama ni kweli,usingekuwa unakesha humu kila siku kuwaongelea wao na inaonyesha ni namna gani unawafuatilia kwa umakini tena neno kwa neno. Chadema ni kama maji kwako,usipoyanywa utayaoga.
 
Chadema walikataa ushauri wa kamanda mbowe, hapo ndipo chadema ilipokufa, tarehe 28 oct 2020 inazikwa rasmi!

Hilo wanalijua, wapo kwenye mpango wa vurugu, hilo nalo mwanaharakati huru kaliweka wazi! Kwahiyo mkataa pema pababaya panamuita.
 
Chadema walikataa ushauri wa kamanda mbowe, hapo ndipo chadema ilipokufa, tarehe 28 oct 2020 inazikwa rasmi!

Hilo wanalijua, wapo kwenye mpango wa vurugu, hilo nalo mwanaharakati huru kaliweka wazi! Kwahiyo mkataa pema pababaya panamuita.
 
Bashe na Kakobe walihojiwa kwa mujibu wa sheria kuhakiki uraia wao.

We pimbi usie na akili,Geita ni Burundi. Ndio unamshauri Lissu aropoke upuuzi?
vipi wewe umehakika uraia wako au wewe raia by default kwakumuunga Jiwe??
 
Bashe na Kakobe walihojiwa kwa mujibu wa sheria kuhakiki uraia wao.

We pimbi usie na akili,Geita ni Burundi. Ndio unamshauri Lissu aropoke upuuzi?
Hiyo sheria mbona haikufanya kazi tokea wakiwa wadogo au vijana,yaani ije ifanye kazi watu wakishakuwa wazee tena baada ya kuanza kuikosoa serikali??Wewe sijui unafikiria kwa kutumia kiungo gani mwilini,maana hata lile tundu la kwenye makalio limekuzidi.
 
Bashe na Kakobe walihojiwa kwa mujibu wa sheria kuhakiki uraia wao.

We pimbi usie na akili,Geita ni Burundi. Ndio unamshauri Lissu aropoke upuuzi?

Alafu ww msengerema usijione una lugha chafu kuliko wengine jaribu kutumia lugha ya staa...
 
So kwa sababu Geita kuna warundi wengi ndio JPM awe mrundi?
Ukiwa Geita hata kijijini namna gani Mrundi na Mnyarwanda wanajulikana. Mara kwa mara kuna operation za kuwakamata na kuwarudisha kwao. Acha kutumia kinyesi kufikiria tumia akili.
Washakamatwa wangapi???au unasubiri wanze kuikosoa serikali ndo muanze kuwahoji uraia wao??Acha kutumia hilo tundu katikati ya makalio kufikiri..shwain.
 
Mwambieni Magu aonyeshe cheti hadharani kama hatafanya hivyo sisi huku uswazi tutajua hana na sio Mtanzania..Obama alibanwa kwamba kazaliwa Asia akatoa cheti hadharani...
Pengine mda huu polepole kaenda kutengeneza cheti waje kukionyesha ndipo wazidi kuwaudhi watu kwani watazidi kukasirika kwa kuwafanya wajinga wakati wanajua mtukufu hana cheti.
 
Wewe ndo fyongo maana hujui hata basis na legitimacy ya hayo mapingamizi,wewe ni sawa na kinyesi kwenye sewage pipe, unaperekwa kokote mmiminiko unakoelekea.
 
Chadema walikataa ushauri wa kamanda mbowe, hapo ndipo chadema ilipokufa, tarehe 28 oct 2020 inazikwa rasmi!

Hilo wanalijua, wapo kwenye mpango wa vurugu, hilo nalo mwanaharakati huru kaliweka wazi! Kwahiyo mkataa pema pababaya panamuita.
Inakufa wakati mnafanya kila aina ya figisu mshinde hata kabla kura hazijaanza kupigwa??kuna haja gani ya kuhangaika na hayo yote kwa chama kinachoelekea kufa???Mnazidi kujiprove wrong hata kwa wapenzi wenu 'wanyonge'.
 
Dogo! Umezaliwa juzi hujui Pan africanism, tuliimba sana afrrika Ni moja, vyeti vya Nini?

Unadhani Nyerere angekuwa na roho mbaya angeruhusu Wazazi wa magufuli wapewe hifadhi hapo Chato? Miaka ya 1950
 
Wewe ndo fyongo maana hujui hata basis na legitimacy ya hayo mapingamizi,wewe ni sawa na kinyesi kwenye sewage pipe, unaperekwa kokote mmiminiko unakoelekea.
Mmepanic?
Tumieni akiri zenu achaneni na kushangilia vitu vya kijinga huku mkiwa na familia.
 
Magufuli ana cheti cha kuzaliwa?
 
Hawa waache tu ndugu yangu, TL anajichanganya kinoma. Akiwa kule Mpanda kaseme eti uwanja wa ndege wa mpanda hautumiki hadi nyasi zimeota. Kitu ambacho sio kweli. Akiwa Kule Mbeya kasema mashamba yote yanamilikiwa nawatu binafsi wakati mashamba mengi sana JPM aliyafuta na kuwagawia wananchi.

Ameshatembea kwenye kampeni haoni matumaini ya kuwa Rais sasa amebaki lopolopo na kituko kwenye majukwaa.

Kachanganyikiwa hadi hanyoi.
 
Wewe ndiyo inabidi ujihoji au ujiulize unaweza ukawa unaufahamu wa kumwelewa mtu? Tundu Lisu kwa kusema vile alikuwa anatuma message kuwa watawala wanatawala bila ya kufuata katiba/sheria au katiba yenyewe haitoshelezi. Ndiyo maana akatoa "Zinger", Hata Magufuli Hana cheti cha kuzaliwa. Elewa kuwa nchi hii ina miaka 60, watua wote/wengi hawana hata IDs, wala birth Certificates. CCM wakishindwa kumkabili mtu wanatumia vigezo kama Birth Certificate or ID kum comfront mtu. Badala ya vitu hivi kuwa mandatory, kisheria zaidi. Je unajua kuwa hata Magufuli hana cheti cha kuzaliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…