Huku ni kujidhalilisha

Natamani nione mwanamke wako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama Sabrina mkuu niambie wewe hapo unaona kuna shepu ya kusumbua hapo mpaka ajiamini kuoiga picha mkuu na kuismabaza kama sio kujidhalilisha tu?

Hivi mwanamke ambae ana umbo ambalo halipendezi sana akawa anajitunza.

Na mwanamke ambae ana umbo ambalo halipendezi alafu akawa anajianika ovyo kila mmoja anaona,ni yupi kati ya hao anahifadhi auibu yake mkuu kiuhalisia?
Una manenoooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh. Ila hao wanajijuaga wenyewe akili zao sababu sio wa kwanza huyo.

Na walio wengi nadhani mishipa yao ya aibu ilishanyofoka na kama haijanyofoka basi ni kupenda kuendekeza tabia za kuiga iga na ndio sababu unamuona hana hata chembe ya haya yaani anajiona kawaida tu.
 
Daah [emoji856]
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…