Huku ni kupendwa tu au ni kweli sisi ni wachache hapa TZ na dunia kwa ujumla

Huku ni kupendwa tu au ni kweli sisi ni wachache hapa TZ na dunia kwa ujumla

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
712
Reaction score
1,748
Habari?

Kumekuwa na kesi nyingi kwa wanaume namaanisha mwanaume achana na hawa wavulana nisiseme wanatongozwa hapana naona niseme wanatamkiwa na wanawake wenye umri zaidi ya miaka 30 kua nataka unioe, namaanisha mwamke ambae kaisha kua na akili timamu maana jinsia yao inapataga ukomavu wa akili wakiisha timiza miaka 30 achana na hawa wasichana under 28. je sisi ME ni kweli ni wachache hapa TZ na dunia kwa ujumla mpaka kupelekea dada zetu kuamua kuingia vitani wenyewe au ni upendo tu maana kwangu mimi hua naishia kuwashangaa hao KE kwasababu sio jambo la kawaida kufanywa na wao
 
Habari?

Kumekuwa na kesi nyingi kwa wanaume namaanisha mwanaume achana na hawa wavulana nisiseme wanatongozwa hapana naona niseme wanatamkiwa na wanawake wenye umri zaidi ya miaka 30 kua nataka unioe, namaanisha mwamke ambae kaisha kua na akili timamu maana jinsia yao inapataga ukomavu wa akili wakiisha timiza miaka 30 achana na hawa wasichana under 28. je sisi ME ni kweli ni wachache hapa TZ na dunia kwa ujumla mpaka kupelekea dada zetu kuamua kuingia vitani wenyewe au ni upendo tu maana kwangu mimi hua naishia kuwashangaa hao KE kwasababu sio jambo la kawaida kufanywa na wao
Mazingira yote yanasapoti ME kuwa wachache

Ktk hao wachache kuna
1. Mashoga
2. Kimoko chali
3. Hit & Run
4. Wenye HIV
5. Wasio na Pesa
6. Wasiojua kujali (care)


7. Wenye mapenzi ya kweli (wachache)

Itoshe kusema VITA NI KUBWA UPANDE WA PILI🔥🔥🔥
 
Habari?

Kumekuwa na kesi nyingi kwa wanaume namaanisha mwanaume achana na hawa wavulana nisiseme wanatongozwa hapana naona niseme wanatamkiwa na wanawake wenye umri zaidi ya miaka 30 kua nataka unioe, namaanisha mwamke ambae kaisha kua na akili timamu maana jinsia yao inapataga ukomavu wa akili wakiisha timiza miaka 30 achana na hawa wasichana under 28. je sisi ME ni kweli ni wachache hapa TZ na dunia kwa ujumla mpaka kupelekea dada zetu kuamua kuingia vitani wenyewe au ni upendo tu maana kwangu mimi hua naishia kuwashangaa hao KE kwasababu sio jambo la kawaida kufanywa na wao

Wanawake mbona wanatongozaga tangu zamani.
Sema wanaume wenye vigezo vya kutongozwa ndio wachache hivyo Wanawake hawaoni haja ya kutongoza kwani wanaona wanajidhalilisha.

Ukishakuwa na Pesa, mashuhuri na mwenye Mvuto ni kawaida Sana kutongozwa na Wanawake.
Na Wanawake hawaoni shida kupigania kitu Kizuri.

Kuhusu wanaume kuwa wachache, hiyo sio kweli
 
Back
Top Bottom