TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Leo nimevaa viatu vya baba yake Sabaya nikaona havinitoshi nikajaribu vya mdudu ndio kabisa.
Kama una mtoto unajua vipi mtoto anavyouma, tuwaombee vijana wenzetu wapate haki wanayostahiri.
Najua wengi wata comment ujinga kutokana na mlengo wao wa kisiasa.
Bado tunawaitaji hawa mashikaji kitaa ,yote waliyofanya ni matunda ya siasa yeyote yanaweza kumkuta.
Naamini Mungu atawapa wepesi tutakuwa nao tena kitaa.
Amen
Leo nimevaa viatu vya baba yake Sabaya nikaona havinitoshi nikajaribu vya mdudu ndio kabisa.
Kama una mtoto unajua vipi mtoto anavyouma, tuwaombee vijana wenzetu wapate haki wanayostahiri.
Najua wengi wata comment ujinga kutokana na mlengo wao wa kisiasa.
Bado tunawaitaji hawa mashikaji kitaa ,yote waliyofanya ni matunda ya siasa yeyote yanaweza kumkuta.
Naamini Mungu atawapa wepesi tutakuwa nao tena kitaa.
Amen