Huku Tz wakipaka ndege yao rangi na kubeba nyama, Rwandair kuanzisha safari za Kinshasa

Faida yote ya ATCL tumenunua ndege saba cash..Ulitarajia tuweke pesa benki ziozene humo? Kesho tunabeba vinyesi tuchanganye na nyama na tuzirundike kwa siti za abiria ndio mpate udaku wakuongea mitandaoni
Ndio maana vichwa vyenu huwa mnavitumia kubebea meno tu. Kusoma comments za kipumba kama hizi kutoka kwa mapimbi kama nyinyi imekuwa ni kitu cha kawaida sana kwenye jukwaa hili. Aibu.
Route zote hizo lakini ndege zakukodi, pesa yote mnalipa kwa wenye ndege, ninyi mnabaki na madeni. Ninyi ni failed state.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepata hiyo mi3x2 .wewe endelea kutafuna kinyesi cha nguruwe hapo mbagala. Ghaseer 😦
Vizuri kwa hapo kibera leo kupata milo 3,umewakumbuka ndugu zako turkana kule hata kwa kuwapa kijimsaada kidogo?hali ni mbaya kule fanya kuwakumbuka nduguzo
 
Ndio mpate udaku wa kuongea mitandaoni, Kesho tunajaza Lidirimulaina Mikojo tupeleke Turkana kwa waadhiriwa wa njaa..Nasikia pombe ya mchina imeishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wakati unavuta bhangi Tafadhali uwe ukitoa maua kwanza
 
Wacha ukorofi[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana vichwa vyenu huwa mnavitumia kubebea meno tu. Kusoma comments za kipumba kama hizi kutoka kwa mapimbi kama nyinyi imekuwa ni kitu cha kawaida sana kwenye jukwaa hili. Aibu.
You should not decieve yourself that you have a monopoly for trolling next time be reasonable and see what happens
 
Kuna maneno mengine ya kujiaibisha bure ambavyo hata kijana ambaye hajafanyiwa sunna(kihii) hawezi yatumia. Alafu unajua kweli maana ya 'trolling' kwenye mitandao?
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Everything is allowed in trolling, no apologies no regrets! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Watu wa huku wana ligi utafkiri wanalipwa kwa kuongea hovyo.
 
yani mtu unakuwa na id mbili mazee....moja ya kujifany mjinga...na ya pili eti kajifanya jamaa la uchumi ..kenya inawatia watu presha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…