Huku yues fungate" hatimaye tumefika qatar"

Huku yues fungate" hatimaye tumefika qatar"

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Aisee kiukweli siwezi kuelezea safari yangu ya fungate toka marekani missouri nyumbani mpaka qatar aisee huku yues.Habari majobless na mnaishi kwa shemeji zenu samahani kama nitawakera kwa hizi bata zangu ila pesa zipo kwa ajili yetu na nyie kuna siku mtazikamata tu huku yues.
Safari yangu mimi na mke wangu adelina kimambo ilianzia Houston kwasababu tulipandia ndege Houston uwanja wa George Bush International Airport tukiiwahi ndege ya Qatar Airways
Tulifika mapema Houston tukapanda ndege ya Boeing 777-300 ER business class you know business class? You know? basi huku yues.
Ndege ilitumia masaa kadhaa tuko angani tu hatimaye tukafika qatar uwanja wa al hamad International airport tukashuka na mke wangu kipenzi adelina kimambo tax tukapokelewa na mwenyeji wetu hussein haitham al makhtoum tukapanda kwenye gari yake aina ya Mercedes benz nyekundu na rangi ya kuvutia kweli kweli huku yues.
Mwenyeji wetu hussein haitham akatupeleka kwenye hotel ya five-star hilton hotel mie ndiyo nimuambia atupeleke huko kwa sababu mara nyingi naitumia sana nikiwa marekani kwenye ile hotel yao ambayo ipo pale Virginia hilton hotel Virginia kiukweli ni hotel ya nyota tano haswa.
Now bado tupo hapa qatar kwa siku kadhaa tunawait baadhi ya mechi za kombe la dunia then mimi na mke wangu adelina kimambo will back to 🇺🇸 for rest of our life.
Kuna picha zipo hapo chini nimekuwekeeni na nyinyi muenjoy hata kwa macho hahahahahaha huku yues.Jumapili njema majobless,wenye wivu, vijicho,chuki, mnaoishi kwa shemeji zenu na pia mnaojifanya great thinker halafu hata kwenye vijijini vyenu hamjatatua tatizo la baa la njaaa hahahahahaha huku yues.
ffbdcbd24356011f45a2e22a1bb0e523.jpg
579d0649-596f372c (1).jpg
Qatary.jpg
14624986804_3bde79d88b_b.jpg
1200px-Doha_Qatar_Airways_Boeing_777-300ER.jpg
FB_IMG_1668916285195.jpg
images-13.jpeg
34882720-8882537-Oil_and_gas_reserves_make_Qatar_one_of_the_world_s_richest_count-m-29_1603772...jpg
 
Aisee kiukweli siwezi kuelezea safari yangu ya fungate toka marekani missouri nyumbani mpaka qatar aisee huku yues.Habari majobless na mnaishi kwa shemeji zenu samahani kama nitawakera kwa hizi bata zangu ila pesa zipo kwa ajili yetu na nyie kuna siku mtazikamata tu huku yues.
Safari yangu mimi na mke wangu adelina kimambo ilianzia Houston kwasababu tulipandia ndege Houston uwanja wa George Bush International Airport tukiiwahi ndege ya Qatar Airways
Tulifika mapema Houston tukapanda ndege ya Boeing 777-300 ER business class you know business class? You know? basi huku yues.
Ndege ilitumia masaa kadhaa tuko angani tu hatimaye tukafika qatar uwanja wa al hamad International airport tukashuka na mke wangu kipenzi adelina kimambo tax tukapokelewa na mwenyeji wetu hussein haitham al makhtoum tukapanda kwenye gari yake aina ya Mercedes benz nyekundu na rangi ya kuvutia kweli kweli huku yues.
Mwenyeji wetu hussein haitham akatupeleka kwenye hotel ya five-star hilton hotel mie ndiyo nimuambia atupeleke huko kwa sababu mara nyingi naitumia sana nikiwa marekani kwenye ile hotel yao ambayo ipo pale Virginia hilton hotel Virginia kiukweli ni hotel ya nyota tano haswa.
Now bado tupo hapa qatar kwa siku kadhaa tunawait baadhi ya mechi za kombe la dunia then mimi na mke wangu adelina kimambo will back to 🇺🇸 for rest of our life.
Kuna picha zipo hapo chini nimekuwekeeni na nyinyi muenjoy hata kwa macho hahahahahaha huku yues.Jumapili njema majobless,wenye wivu, vijicho,chuki, mnaoishi kwa shemeji zenu na pia mnaojifanya great thinker halafu hata kwenye vijijini vyenu hamjatatua tatizo la baa la njaaa hahahahahaha huku yues.
Punguza Bangi wewe KIDUKU LILO yaaaani umejitoa ufahamu kiasi hiki. Picha zenyewe ulizoweka umetoa mitandaoni zimepigwa mwaka 2014 nk. Yaaaani huna hata akili ya Form 2 inaonekana uwezo wako wa kufikiri uko chini sana na huenda unasumbuliwa na Utapiamlo au Msongo wa mawazo kwa kukosa kazi ya kufanya.
 
Dah, huyo ndo mkeo? Nishamchakata Sana aiseee.. ngoja niweke screenshot ya msg yake ya Jana uone.
 
Punguza Bangi wewe KIDUKU LILO yaaaani umejitoa ufahamu kiasi hiki. Picha zenyewe ulizoweka umetoa mitandaoni zimepigwa mwaka 2014 nk. Yaaaani huna hata akili ya Form 2 inaonekana uwezo wako wa kufikiri uko chini sana na huenda unasumbuliwa na Utapiamlo au Msongo wa mawazo kwa kukosa kazi ya kufanya.
This I like it for me it is " quote of the year" haujatukana na umecomment humble sana! Upae juu making uni mkuu
 
Aisee kiukweli siwezi kuelezea safari yangu ya fungate toka marekani missouri nyumbani mpaka qatar aisee huku yues.Habari majobless na mnaishi kwa shemeji zenu samahani kama nitawakera kwa hizi bata zangu ila pesa zipo kwa ajili yetu na nyie kuna siku mtazikamata tu huku yues.
Safari yangu mimi na mke wangu adelina kimambo ilianzia Houston kwasababu tulipandia ndege Houston uwanja wa George Bush International Airport tukiiwahi ndege ya Qatar Airways
Tulifika mapema Houston tukapanda ndege ya Boeing 777-300 ER business class you know business class? You know? basi huku yues.
Ndege ilitumia masaa kadhaa tuko angani tu hatimaye tukafika qatar uwanja wa al hamad International airport tukashuka na mke wangu kipenzi adelina kimambo tax tukapokelewa na mwenyeji wetu hussein haitham al makhtoum tukapanda kwenye gari yake aina ya Mercedes benz nyekundu na rangi ya kuvutia kweli kweli huku yues.
Mwenyeji wetu hussein haitham akatupeleka kwenye hotel ya five-star hilton hotel mie ndiyo nimuambia atupeleke huko kwa sababu mara nyingi naitumia sana nikiwa marekani kwenye ile hotel yao ambayo ipo pale Virginia hilton hotel Virginia kiukweli ni hotel ya nyota tano haswa.
Now bado tupo hapa qatar kwa siku kadhaa tunawait baadhi ya mechi za kombe la dunia then mimi na mke wangu adelina kimambo will back to 🇺🇸 for rest of our life.
Kuna picha zipo hapo chini nimekuwekeeni na nyinyi muenjoy hata kwa macho hahahahahaha huku yues.Jumapili njema majobless,wenye wivu, vijicho,chuki, mnaoishi kwa shemeji zenu na pia mnaojifanya great thinker halafu hata kwenye vijijini vyenu hamjatatua tatizo la baa la njaaa hahahahahaha huku yues.
Siku nyingine ukichemsha CHAI usizidishe mdalasini kama Leo. Ona sasa chai imekuwa na ladha kama dawa😡😡
 
Hongera mzee wa 'huku yues' kwa kufika Qatar (in ya dreams) 😄😄
 
Back
Top Bottom