Hukumu dhidi ya Sabaya haikunipendeza.

Mode unganisheni haya mathread ya sabaya yote maana yanachosha sasa
 
Na ukiwasikiliza…. Hawana kipya
 
Wanabwabwaja sana hakuna cha maana
 
bangi unayovuta is top notch!
 
I

Upumbavu huu kama unataka asamehewe tufute utawala wa sheria tuishi kama wanyama akiliyako finyu sana nilifikiri utasema tuhuma nizauongo amebambikiwa kumbe hukani unqkuja natuhoja twa kijinga
 
We we ni mpumbavu
 
Muovu anaweza kuwa rehabilitated,kama daktari anavyorehabilitate afya yako unapokwenda hospitali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…