Hukumu Kesi ya Kikatiba ya Jamii Media: Mahakama yakiri Sheria Makosa ya Mitandao inahitaji kanuni

15 Ewe mtu mbaya, usiyavizie makao yake mwenye haki; Wala usipaharibu mahali pake pa kupumzika;
16 Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; Bali wasio haki hukwazwa na mabaya.
 
23 Haya nayo pia ni maneno ya wenye akili. Kupendelea watu katika hukumu si kwema.
24 Amwambiaye mtu mwovu, Wewe una haki; Kabila za watu watamlaani, taifa watamchukia.
 


Okay, kwa nini hakimu alikubali oral submission ya Jamhuri kama sheria inakataa?

Hilo ni kosa la Jamhuri au la mahakama?
 
Kama ni kweli mahakama kuu imeamua kuwa polisi hawana automatic right ya kupata taarifa toka JF au media nyingine yoyote mpaka wapitie court, basi ni ushindi mkubwa ktk kuzuia udikteta nchini. Naomba hata court of appeal wa affirm hiyo point
 
Nadhani hii comment yako ungeifungulia thread kabisa nadhani wangepatikana watu ambao wangejibu na kuzua mjadala ambao ungeleta manufaa!
Nilichojifunza ni kuwa DPP ana mamlaka fulani mahakamani so hakuna common ground kati ya mawakili wa serikali na wa watu binafsi!Nadeclare sina taaluma ya sheria ila kwa mtazamo nimeona hivyo!Ndio maana nikashangaa jamhuri kuwaombea dhamana watuhumiwa wa dawa za kulevya akina TID,wakati ni hao hao serikali iliyowashitaki!Fungua uzi tafadhali tuulize haya ili wengine tupate elimu kidogo!
 
Hongereni sana Wakuu kwa ushindi huu mkubwa sana dhidi ya Serikali katika uhuru wa kupashana habari nchini.

kui

 
Reactions: kui
Baada ya kuona taarifa kupitia ITV usiku huu ndio nimejua kuwa hii hukumu imetoka leo.Niliona hii thread mapema leo ila nikaona ya mwezi February hivyo sikuhangaika kuisoma kumbe ina update.

Hata hivyo, nawapongeza sana Jamii Media kwa huu ushindi ambao ni wetu sote.
 
Hongera Jaji Winnie Koroso kw kutetea wananchi kupitia Jamii Media hongereni sana Justice has prevailed
 
wenye nakala ya hukumu tafadhali weka humu tuione kwa mustakabli wa kisheria
 
Nimefarijika sana leo. Siamini kama ni Tanzania hukumu hii yaweza kutoka. Ila tutegemee sarakasi nyingi sana katika kutetea uhuru wa habari. Vita ndiyo imeanza. Hatari ni kwa wale wasiojua sheria na wananyanyasika kila kukicha
 
Mungu akulinde na kukupa hekima zaidi,umetuwezesha watanzania wengi kujifunza mengi hapa JamiiForums hakika maxence mello shujaa wetu
 
Hongereni sana Wakuu kwa ushindi huu mkubwa sana dhidi ya Serikali katika uhuru wa kupashana habari nchini.

kui

Indeed. Hongera sana Jamii Media!

Thanks for Info BAK
 
Reactions: BAK
Mungu yupo pamoja na watenda mema.Muda si mrefu mnafiki ataumbuka
 
Pole sana Mkuu Maxcence na team yote ya JF.
Be bold to defend our beloved JF.
May the good Lord guard and bless you all!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…