Hukumu kesi ya nsanzugwanko vipi?

Hukumu kesi ya nsanzugwanko vipi?

kajunju

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2011
Posts
999
Reaction score
317
Daniel nsanzugwanko wiki mbili zilizopita,akiwa na Nape Nauye apa kasulu mjini. Aliwambia wananchi kuwa kesi yake ilichakuliwa koti kuu na mahakama ya rufan na ata mahakama ya rufani. Alisema kuwa leo tarehe 6/02/20.12 majaji watatu wanatoa uamzi kuhusu kesi yake ana ana uhakika wa kushnda.kumbuka mwaka 2010 alinyukwa na zaitun buyogera. Mwenye taarifa atujuze nini kimejiri
 
Nsanzugwanko ni mtu mwenye heshima zake ila haya mambo ya siasa na kushitakiana huku alishindwa uchaguzi ayaache kwan mchango wke tumeshauona na tunautambua.Afanye shughuli nyingine.
 
Back
Top Bottom