Nimesikia kupitia East Africa Radio kwamba hukumu ya Nguza Viking na wanae kupitiwa na jopo la majaji hapo oktoba 30/2013.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya upande wa utetezi ukiongozwa na Wakili Mabere Marando kuwasilisha maombi ya kupitiwa upya,kufuatia madai ya kuwepo kwa dosari nyingi za kisheria.
Source: East Africa radio