Hukumu ya kesi ya uchaguzi kenya

Hii ni hukumu ya kesi ya uchaguzi Kenya

Kwa vile yaliyokuwa yakiendelea Kenya katika uchaguzi uliopita tulihisi yatazaa mtoto atakayetumika hapa Bongo (Tz) 2015; sisi walalahoi tusiokuwa na utalaam wa sheri tulifuatilia kwa karibu sana from mpiga kura point of view; tangu upigaji kura; kuhesabu matokeo na mwisho kutangaza matokeo; hasa pale tuliposikia sauti ya yule Msomali wa kaya tulisema hebu tuone kama rai yake ya kawaida haitatendewa kazi. Kuja kuanza cha kwanza tukasikia mtandao kuvamiwa. Lakini bila kuegemea upande wa aliyeshinda ama aliyeshindwa; maoni yangu mlalahoi/mpiga kura aliyeanza kuingiwa na hofu kwa 2015; nina haya ya ku-share na JF:
1: Hukumu hii; kwa kiasi nilivyoisoma kulinganisha na yaliyoendelea wakati wa kesi ya kulalamikia matokeo; ni kwamba hukumu hii mazingira yake kuwa iwe hivyo yaliandaliwa kabla; kwa kufanya yawepo haya yafuatayo:-
1.1 Kumruhusu yule rafiki yule wa mahakama aliyekuwa ajent wa mgombea mmojawapo, wakati waombaji wengine walikataliwa kwa maelezo kuwa wameegemea upande wa mgombea wa pili. Hapa haki ya kikatiba na kisheria ilionyesha tayari SC ina upande tayari.
1.2 Kukataliwa mfululizo petition zilizokuwa na ushahidi wa kile walichokuja kutumia kama sababu kukataliwa kwa sababu ambazo hata wanasheria wa huko wamehoji kuwa itaathiri utekelezaji wa sheria huko maana SC ndiyo point of refernce kwa mahakama zote za chini tangu HC hadi PC. Hapa SC imetoa picha ya hatari sana kwa kutumia sheria kuondoa haki.
1.2 Kwa wapiga kura dosari ambazo walishuhudia wakati wote kesi inaendelea mpaka hukumu inatolewa na SC imekiri ziliathiri matokeo kwao ndizo zitawafanya kwenye uchaguzi ujao wawe na negative opinion juu haki kutendeka na hivyo kuathiri turnout; ambayo kwa safari hii ilikuwa kubwa kwa kuchochewa na matumaini ya mfumo mpya kutokana na katiba mpya. Hiyo turnout na matokeo haya hawataiona tena mpaka lifanyike jambo litakalorudisha imani ya wapiga kura kwa SC hii kabla ya next election.
1.3 Kinachoendelea sasa hivi kutaka kuwekamambo sawa baada ya uchaguzi kwa kuanza kufukunyua madhambi baada ya SC kuitolea lawama Tume ya Uchaguzi na impact ya matamshi ya mara kwa mara ya mgombea aliyeshindwa ambaye ana support ya karibu 50% ya waliopiga kura itafanya future iwe very bleak ikizingatiwa kuwa bado kuna ICC kwa washindi wote wawili; na hisia ya wenye ICC ambayo haijulikani watakavyoitumia ICC; hasa yule jamaa wa Magharibi na uhusiano wake na na mshindwi.

MWISHO: Kuna somo kubwa sana kwa Bongo 2015; maana mazingira yatakuwa ya katiba mpya vs hisia za kutaka kipya ni kinyemi.

Nawatakia maisha mema wanaJF tufike 2015;kwa majaliwa ya Mungu tutafika.
 
Kumruhusu yule rafiki yule wa mahakama aliyekuwa ajent wa mgombea mmojawapo,

Huu ni uvumi tuu,,kwani huyu,,eti rafiki wa korti,,,,si ni,, Attorney general wa Kenya,,,,,
eti alikua agent wa Uhuru Kenyatta,,,hiki ni kichekesho,,,unaweza kudhibitisha????:biggrin::biggrin:
Sijamsikia mlalamishi mkuu katika hii kesi,,yaani,,Raila Odinga akiteta.

wakati waombaji wengine walikataliwa kwa maelezo kuwa wameegemea upande
wa mgombea wa pili

Ndugu na,,,kwa,,heshima,,si dhani,,kama,,uliweza kufuatilia hii kesi,,, vilivyo.

Mmoja wa hawa 'waombaji',,mr Guy,,,aliyekua ameandika mengi kumuhusu Uhuru
Kenyatta na rais Mwai Kibaki,,haya yalidhibitishwa kortini,,na sielewi vile haukuyajua
kama ulifuatilia,,vilivyo..

Wengine ni chama cha mawakili,,,ambapo,,kulikua na nakala ambazo
zilikua,,,displayed in the court,,,,kuonyesha vile walikua wanampedelea
Raila Odinga na kuchukizwa na upande huo mwingine.

Hakuna chochote kile kilionyesha eti Attorney General wa Kenya
alikua anapendelea upande wowote.


Ooohh,,Boy,,,this one is Johnny B good,,,,,:wink:,,,,hii ni kutoelewa,,,,,,,kwani,,uko wakati
pande zote za hii kesi,,,walikua wamepewa,,wawe wamewakilisha ushahidi wao wote
kortini,,,,muda wa zaidi ya wiki mmoja.

Dunia bila mpangilio,,,itakua dunia ya aina ngani????????

Hii kesi ilikua isikizwe kwa siku mbili,,,na baada ya kupewa wakati
wa kutosha,,,,hawa mawakili wa CORD wakaamua kuasilisha
documents,,eti za ushahidi,,,running upto 900 pages,,,eeee,,
kwani,,,,hawa majaji na mawakili wa upande huo mwingine
walikua malaika waweze kusoma pages 900 na kuamua
hiyo kesi kwa siku mbili????? na hii ni baada ya wao,,,
upande wa walalamishi kua na siku kumi za kufanya
hivyo????

Kwanini waliwahi,,kama walikua serious,,,kuakilisha
ushahidi wao,,kwa wakati ambao ulikua umepita???

Hizi zilikua tactics za upande wa walamishi lakini hazikufua
dafu,,,na watu waache uvumi kwani hautasadia,,yeyote.
 
Wengi wa wa Kenya waliwahi kuteta,,eti shida yetu ni kwamba hatukua tukifuata
,,,,,utaratibu.


Sasa,,tukaamua kutengeza katiba mpya na tukaweka mipaka na sasa wengi
wanateta,,,,,,,,,,,,,,,wenyewe.

Hii katiba iliundwa na wakenya na upande wa ODM,,ukaongoza.

Supreme Court,,,,,utaratibu ni,,,,baada ya kutangazwa
matokeo ya urais,,,yeyote mwenye malalamishi ya
aina yeyote,,,katika Katiba ya sasa ya Kenya,,2010,,,,
amepewa siku saba ( 7 days)kuakilisha malala
mishi yote katika supreme court of Kenya.

Nime sahihisha na wacha ni nukuu katiba ya Kenya,,,,

article 140,,

(1),,,
A person may file a petition in the supreme court to
challenge the election of the president-elect within
seven days
after the date of the declaration of the
results of presidential election.

(2),

Within fourteen days after the filling of the petition
,,,,the supreme court shall hear and determine the petition
and its decision its decision shall be final.

So what happened???????Raila Odinga atangaza eti
atawasilisha kortini,,malalamishi, kupinga hayo matangazo ya
ushindi wa Uhuru Kenyatta,,siku hiyo hiyo,,ilikua
jumammosi(on Sartuday) lakini hawakufanya
mpaka sartuday ilio fuatia.

Nikiendelea na vile katiba inasema,,,ni kwamba,,,
baada ya malalamishi kuakilishwa SC after 14
days,,,, korti inaamua,,,,,,not less or more than
fourteen days.

Kwanini majaji walaumiwe na sio walioandika ama
kuweka hii mipaka,,,kama huu ushahidi ungelikubaliwa
siku hiyo,,,kesi ingendelea zaidi ya 14 days,,,kwa
nini,,, kujaribu kubadilisha,,rules in the middle of
the play,and introduce,,more confusions
.

Sasa siku ya kesi,,,ambayo ilikua imetengwa iwe
ni siku mbili,,,(in those 14 days) na kila mtu Kenya
alikua anajua haya yote,,,,lakini CORD na mawakili,,,,,
wake,,waka amua kuakilisha more evidence on that day of
hearing,,,ambapo,,,,ni kinyume cha sheria.

Kwani,,sheria inasema,,,ni siku saba baada ya kutangazwa,,
uwe umewakililisha ushahidi wako wote,,,,na si kuingia
kortini siku ya kesi na vitabu vikubwa eti ni,,,,
more evidence.


Huo ndio utaratibu,,na hayo mengine,,,,nikutokujua,
ama propaganda ambazo zimepitwa na wakati.

Na,,upande wa CORD,,,nikujaribu kuvunja,,zile zile
sheria walikua wana zipighania.

Tutafuata utaratibu ambao tulijiletea,,,,sisi wenyewe,,,
na kufuata katiba.

Njia,,ni hiyo mmoja tuu and no two way route.

Kama mtu anataka kua akiwakilisha ushahidi,,siku
hiyo ya kesi,,,,basi,,,,badilisha katiba,,na wale
ambao hawana habari,,,,,,soma na kuelewa kabla
yakusema mambo ambayo,,,hauyajui.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…