Hukumu ya Mdude Nyagali hatma ni leo

Amina naiwe kwa mapenzi mema ya Mungu awe huru kwa jina la Mungu.
 
Wameenda kumpokea bingwa wa matusi, yaani inaonyesha ni kiasi gani chama kilivyo cha kihuni mtu kama huyo mnaona ni shujaa yaani mlivyo wajinga mnaweza kumfananisha hata na mandela ni lichama la kihuni sana Chadema.
punguza jazba.
 

Mwana CCM haamini kuwa jamaa kachomoka anapiga simu kuuliziaπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wameenda kumpokea bingwa wa matusi, yaani inaonyesha ni kiasi gani chama kilivyo cha kihuni mtu kama huyo mnaona ni shujaa yaani mlivyo wajinga mnaweza kumfananisha hata na mandela ni lichama la kihuni sana Chadema.
Unateseka ukiwa wapi mkuu?
 
Asante Mungu kwa sababu maombi yetu yamejibu.
Mungu baba wewe hujawahi kutuacha. Tunasema asante Baba wa Ibrahim na Yakobo..,.MDUDE YUPO HURU...
Peopleeee's.............
 
Asante Mungu kwa sababu maombi yetu yamejibu.
Mungu baba wewe hujawahi kutuacha. Tunasema asante Baba wa Ibrahim na Yakobo..,.MDUDE YUPO HURU...
Peopleeee's.............
Ameen!!!
 
Wakuu, Ugumu wangu ni janja janja, si mtu salama kufanya nae jambo llolote like linalohusu pesa. Pitieni hiyo thread hapo chini mjionee.


sambulugu Iboya2021 secret file Ushindi victory Patrick Girigo WALOLA VUNZYA SAGAI GALGANO wakaliwetu Ibwe Daudi Mchambuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…