Rutakyamilwa
JF-Expert Member
- Feb 27, 2009
- 1,871
- 1,237
Hukumu ilisema Hakukusudia kuua! Mabomu ya machozi sheria yeke inasema huwa unapiga umbali gani toka kwenye target (for that matter waandamanaji) ? Yeye alikuwa umbali gani? Na nini kilimfanya alenge bunduki hiyo wakati anaona Mwangosi kazungukwa na hivyo hana uwezo wa kuleta madhara, hakuwa na silaha, KWA NINI ALIMLENGA?
HALAFU MHESHIMIWA JUDGE ANASEMA ALIUA BILA KUKUSUDIA! ETI KULIKUWA NA DEFECT KWENYE BUNDUKI, KWA NINI ALIMLENGA AT A NOSE- MOUTH DISTANCE WAKATI UTARATIBU UNAKATAZA KULENGA AT SUCH A SHORT DISTANCE. Ni maswali nimekuwa nikijiuliza!!
NOTE: SIKUSUDII KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA, NI JUST TO HAVE AN INQUISITIVE MIND!
HALAFU MHESHIMIWA JUDGE ANASEMA ALIUA BILA KUKUSUDIA! ETI KULIKUWA NA DEFECT KWENYE BUNDUKI, KWA NINI ALIMLENGA AT A NOSE- MOUTH DISTANCE WAKATI UTARATIBU UNAKATAZA KULENGA AT SUCH A SHORT DISTANCE. Ni maswali nimekuwa nikijiuliza!!
NOTE: SIKUSUDII KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA, NI JUST TO HAVE AN INQUISITIVE MIND!