Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Malyenge ni nani huyo aliyekuwa anafanya mji usikalike kwa maandanamo na uharibifu wa nyumba za ibada hakuchukuliwa hatua na Mkapa?Yesi, kama ilivyokuwa kwa Mkapa kwa viongozi wa kikristo!!!!!
akiukumiwa tu basi hapo ndio tutaamini ccm wana udini kwa kosa gani hapo waislamu kueni makini na ukumu hii ya ccm
By matumbobwana MAFILILI kwa habari nilizoziskia jana kitaani hii hukumu itasogezwa mbele,ikulu bado inalumbana ni maelekezo gani hasa ya kutoa kwa mahakama...
Sasa mbona huyu mtu kaongea hivi??
Kwani ninyi mlitaka afungwe?
Sitegemei watu wa itikadi yako wayaone makosa. Kama mtu kuoa katoto ka miaka 9 halikuwa kosa, utaona kosa kwa mtu anayevuruga amani na kupora vitu vya watu?
naona umepanic mpaka haujielewielewi....ponda ni mwizi wa matofali,nondo,cement na kokoto...apewe hukmu anayostaili
Yule mwizi wa Richmond mlishamfunga !? ....au kwakuwa anawakatia kwenye harambee zenu za kujenga mahekalu !
hukumu iliyokuwa itolewe leo dhidi ya shekhe issa ponda imeahirishwa mpaka mei 9..
Nikutokana na hakimu kuugua.
naona umepanic mpaka haujielewielewi....ponda ni mwizi wa matofali,nondo,cement na kokoto...apewe hukmu anayostaili
Yule mwizi wa Richmond mlishamfunga !? ....au kwakuwa anawakatia kwenye harambee zenu za kujenga mahekalu !
Hata. Tunataka aachiwe kwa kuwa kuvamia kiwanja cha mtu si kosa na hata kuchochea fujo si kosa kwa sisi .......... Uchochezi ni ibada kwetu
Sheikh Ponda hawezi kufungwa, ni mdau mkubwa wa handsome boy wa Magogoni
Acha uzushi wewe!!!!!!