CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Kwa nia njema tu kabisa nauliza🙁na si kwa kubeza au vinginevyo): Kwa nini hukumu nyingi (si zote nisisitize) za Mahakama kuu zikienda Mahakama ya rufaa huwa zinatenguliwa? Nimefanya utafiti usio rasmi na kujiridhisha kuwa iko hivyo. Kesi hasa za mauaji, rape , economic crimes (list not exhaustive).
Nadhani kuna tatizo la msingi ambalo idara ya mahakama iliangalie kwa nia njema tu ya kuboresha utoaji haki
Nadhani kuna tatizo la msingi ambalo idara ya mahakama iliangalie kwa nia njema tu ya kuboresha utoaji haki