Hull City yarejea Premier League

Hull City yarejea Premier League

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Inaungana na wale washindi wawili wa championship league , baada ya kuichapa Sheffied Wednesday katika fainali ya play off iliyopigwa Wembley .

Shukran kwa bao kali la Mweusi Diame , kwa shuti kali kutoka nje ya 18 .

Kila la heri Steve Bruce .
 
Inaungana na wale washindi wawili wa championship league , baada ya kuichapa Sheffied Wednesday katika fainali ya play off iliyopigwa Wembley .

Shukran kwa bao kali la Mweusi Diame , kwa shuti kali kutoka nje ya 18 .

Kila la heri Steve Bruce .
Steve Bruce nafikiri atakuwa moja kati ya Makocha waliopandisha timu mara nyingi. Mwingine ni Mick McCarthy.

Tutawaona kina Tom Huddleston, Abel Hernandez, Chester Na wengine.

Ila wajiandae kushuka msimu ujao, mpira wa kiingereza kwa sasa hauna nguvu makocha wa kigeni wamebadili style ya kucheza mpira.
 
Steve Bruce nafikiri atakuwa moja kati ya Makocha waliopandisha timu mara nyingi. Mwingine ni Mick McCarthy.

Tutawaona kina Tom Huddleston, Abel Hernandez, Chester Na wengine.

Ila wajiandae kushuka msimu ujao, mpira wa kiingereza kwa sasa hauna nguvu makocha wa kigeni wamebadili style ya kucheza mpira.
Unaonaje uchezaji Leicester
 
Unaonaje uchezaji Leicester
Leicester mpaka Nov/Dec watu team hazikuwachukulia Serious.

Na baada ya kuonekana ni threat Na wanaweza kuchukua ubingwa team zikaanza kujifunza mchezo wao. Na wao pia wakajiangeza mpaka wakachukua.

Ila kwa style yao ni rahisi kuwazuia.

Defend Defend halafu direct counter attack. Kwa kutumia pace ya Vardy Na ufundi wa Mahrez.
 
Steve Bruce nafikiri atakuwa moja kati ya Makocha waliopandisha timu mara nyingi. Mwingine ni Mick McCarthy.

Tutawaona kina Tom Huddleston, Abel Hernandez, Chester Na wengine.

Ila wajiandae kushuka msimu ujao, mpira wa kiingereza kwa sasa hauna nguvu makocha wa kigeni wamebadili style ya kucheza mpira.
Chester yupo West Brom
 
nilikuwa nambetia sana hull kwa sasa nitaanza kumuua
 
[emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74] [emoji74]

Sasa umerudi kwenye mstari
Mwanitesa united aka Manyau fc....hawana jipya hawa..ngoja tuone tambo za Mourinho.. zitawafikisha wapi...
 
Kubaki kwa Derby county na Brighton & Hove kumeninyong'onyesha sana , kwangu hizi timu zilikuwa bora kabisa .
championship si mchezo ndugu....pagumu sana kutoka....hata hivyo nami ningefurahi kuwaona kina Bent..premiere league next season.. lakini hawakufanikiwa kupanda!!!
 
Back
Top Bottom