Human and his nature

Human and his nature

British economist

Senior Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
104
Reaction score
14
  • napenda kujua kwanini binadamu tuna akili na mitazamo tofauti
  • na kwanini tumeumbwa na tuna uwezo wa kufikiri tofauti tofauti
  • kwa nini mungu aliamua kututenga kwa lugha? Kama wote tumeumbwa kwa mfano wake kwanini tusionge lugha moja?
  • kwanini tumejitenga katika makabila?
  • na jee watu weusi ni ishara ya laana duniani ? If so why if not why kwasababu sisi pke etu ndo tuko nyuma apa duniani
  • lastly kama wote tueumbwa na mungu kwa mfano wake kwanini tuna mitazamo tofauti in ter of colour,intelligency.etc
 
Back
Top Bottom