- napenda kujua kwanini binadamu tuna akili na mitazamo tofauti
- na kwanini tumeumbwa na tuna uwezo wa kufikiri tofauti tofauti
- kwa nini mungu aliamua kututenga kwa lugha? Kama wote tumeumbwa kwa mfano wake kwanini tusionge lugha moja?
- kwanini tumejitenga katika makabila?
- na jee watu weusi ni ishara ya laana duniani ? If so why if not why kwasababu sisi pke etu ndo tuko nyuma apa duniani
- lastly kama wote tueumbwa na mungu kwa mfano wake kwanini tuna mitazamo tofauti in ter of colour,intelligency.etc
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site.
Learn more…