Human brain vs computer

Sawa, kwanini sasa? Thibitisha hili.
Unaposema 'kwangu mimi' unamaanisha Nini?? Utambue Ulimwengu haukujui wewe na haujali hisia zako wala wewe unafikiria Nini juu yake.
Mfano, gari, pikipiki, nyumba, computer, ndege etc
Note dunia haijari hisia za yeyote wala kumjua yeyote isipokuwa binadamu ndio wanajari ikiwa una maslai kwao
 
Ndugu muweka mada, hivi kweli computer ambayo imetengenezwa na mwanadam ndo kusema ina akili kuliko ubongo wa mwanadam yet ubongo wa mwanadam ndo umebuni computer?

Yet computer ipo programmed, so task beyond programmed logic haifanyi kazi.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mfano, gari, pikipiki, nyumba, computer, ndege etc
Note dunia haijari hisia za yeyote wala kumjua yeyote isipokuwa binadamu ndio wanajari ikiwa una maslai kwao
Hivi vyote ulivyotaja havijawa created...Vimeunganishwa TU
Maana hamna binadamu aliyeweza kuumba electron/proton yake.
Sasa Mimi naulizia hyo assumption yako ya kuwa lazima vitu vyote vilikuwa created na creator Ina uthibitisho?
 
kukujibu swali lako, jiulize kitu kimoja utapata jibu, kwanini tunatumia computer, simu, laptop,calculator n.k? ukipata jibu utakuwa mahali pazuri
 
Mikono yangu,miguu yangu, macho yangu, kichwa changu, ubongo wangu tumbo langu LAKINI
WHO AM I?
 
Yani apo swali ndo jibu tayari. Cheki iyo paradox? Swali: am i?
Jibu: I am.
Yani reverse ndo forward na forward ndo reverse. Ukieeeenda weeeeeeh ufuate tu mstari straight! Unajikuta umerudi ulipoanzia.
Mikono yangu,miguu yangu, macho yangu, kichwa changu, ubongo wangu tumbo langu LAKINI
WHO AM I?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…